Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

Simba wameogopa, mechi ya Pamba walifanyiwa fujo na mkuu wa mkoa lakini hawakususa, mechi hii hawakutoa taaarifa kuwa watatumia uwanja wakati wanajua utaratibu, walifanya makusudi maana ilikuwa wale 6.
kanuni inasema timu pinzani itafanya mazoezi siku moja kabla ya mechi kwe nye uwanja husika.mlikuwa hamjui hii kanuni?
mnataka mpewe taarifa ili mfiche nini!
 
kanuni inasema timu pinzani itafanya mazoezi siku moja kabla ya mechi kwe nye uwanja husika.mlikuwa hamjui hii kanuni?
mnataka mpewe taarifa ili mfiche nini!

Kanuni inasema timu pinzani inaruhusiwa kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi....
1. Ina maanisha sio lazima kuwa timu pinzani itafanya mazoezi, ni kama tu itahitaji
2. Kuruhusiwa maana yake kuna masharti hapo ambayo moja wapo ni kama kutoa taarifa nk
 
Ushirikina tu. Bongo tuko nyuma na tutazidi kuwa nyuma. Shame on you Simba Yanga Kwa kuamini ndumba na uganga. Mmewatia watanzania hasara za kifedha, mmewafanyia watz ukatili wa kisaikolojia, mmetudhalilisha watz kimataifa.
Ningekwa na Hela ningeshtki Simba Kwa urojo huu. Watu wamelipia we Kwa kuamini tu uchawi unaamua kutokucheza.
Visingizio kibao. Mi mwanasimba but tukifungwa mechi ijayo Wala sitaumia coz moyo wangu baada ya hili umeamua kukubaliana na chochochote.
 
Simba wameogopa, mechi ya Pamba walifanyiwa fujo na mkuu wa mkoa lakini hawakususa, mechi hii hawakutoa taaarifa kuwa watatumia uwanja wakati wanajua utaratibu, walifanya makusudi maana ilikuwa wale 6.
Naishia kukuita ni mjinga ww kwa hiyo vitendo vya kipuuzi yanga inavyovifanya dhidi ya Simba tuendelee kuvifumbia macho,Haya ni manyunyu Simba hawatakubalii uhuni wenu tena.

No reform no Derby

Heri Simba icheze ligi daraja la pili kuliko kuendelea kucheza NBC ligi iliyotiwa mfukoni na genge la kihuni na kampuni ya wauza magodoro
 
Simba wameogopa, mechi ya Pamba walifanyiwa fujo na mkuu wa mkoa lakini hawakususa, mechi hii hawakutoa taaarifa kuwa watatumia uwanja wakati wanajua utaratibu, walifanya makusudi maana ilikuwa wale 6.
Umeleta jambo jipya na la kufikirisha sana. Kwenye ile ishu walibweka sana, ila kubweka kwao kote walitaka yule RC aondolewe madarakani! Ila this time, wakaona bora wasuse!!
 
Hizi timu ni za kisiasa nashangaa hata wadau mnabishana
Bodi ya ligi ni pambo tu nyuma ya pazia kuna serikali.
Hujiulizi mwaka 2021 yanga alipogoma nini kilitokea
 
aliyeogopa ni yule aliyemkataza mwenzie asiingie uwanjani akakimbize majini
Zoezi la siku moja ingeathiri nini kama sio kuogopa mechi,kati ya yanga na simba hakuna mgeni katika uwanja wa Benjamini Mkapa,ni ujinga uliopitiliza.
 
Zoezi la siku moja ingeathiri nini kama sio kuogopa mechi,kati ya yanga na simba hakuna mgeni katika uwanja wa Benjamini Mkapa,ni ujinga uliopitiliza.
sio zoezi la siku moja.shida KANUNI.hapo tulitaka kukomoana tu.sio kingine
 
Naishia kukuita ni mjinga ww kwa hiyo vitendo vya kipuuzi yanga inavyovifanya dhidi ya Simba tuendelee kuvifumbia macho,Haya ni manyunyu Simba hawatakubalii uhuni wenu tena.

No reform no Derby

Heri Simba icheze ligi daraja la pili kuliko kuendelea kucheza NBC ligi iliyotiwa mfukoni na genge la kihuni na kampuni ya wauza magodoro
Walidhani Simba ni kama Singida Black mavi wale
 
Maamuzi ya kuahirisha mpira wa jana ni kati ya maamuzi mabovu kuwahi kufanyika
Kwa sababu sababu zilizokuwepo hazikuwa na uzito wa kutosha kuahirisha mpira

1. Kitendo cha Simba kupeleka team uwanjani bila taarifa jioni/usiku, kilitosha kabisa kuwazuia kwa sababu; uongozi wa Uwanja unatakiwa kuwa na taarifa ili kuweka mazingira sawa ikiwepo kuwa na walinzi, wafanyakazi nk kwa ajili ya kusimamia taratibu za uwanja.

2. Kimsingi waliozuia Simba isiingie uwanjani ni walinzi wa uwanja, hata kama kulikuwa na washabiki wanao dhaniwa ni wa Yanga maeneo ya uwanjani....

3. Tusiaminishwe kuwa washabiki wachache tu ndio wenye nguvu ya kufanya kazi ya ulinzi wa uwanja kuliko wafanyakazi/walinzi wa uwanja walio ajiriwa.....tukiamini hivyo kuna siku team zitazuiwa kwenda uwanjani ili team nyingine ipate point tatu....

4. Mimi bado naamini team ya SIMBA ILIZUILIWA na walinzi wa uwanja kwa kutokufuata taratibu (kwenda uwanjani jioni/usiku bila taarifa) hayo ya mashabiki wa Yanga yamejazilishiwa tu.....

Kimsingi sababu zilikuwa Nyepesi ukiangalia gharama za maandalizi na washabiki ambao wengi tu walisafiri kutoka mikoani na Nnje ya Nchi. Inamaana mechi za Yanga na simba wanaenda kuzipunguzia ushabiki (fedha) kwani hakuna mtu ataliipa hela yake kwenda dar wakati kwa sababu nyepesi nyepesi mechi inaweza kuaharishwa!
Mechi Ime Ahirishwa Mchana
Hiyo taarifa ya Yanga kupeleka Timu Uwanjan Wamiliki wamepewa na nani
 
Utaratibu wa Timu kupewa pointi 3 baada ya timu nyingine kutofika uwanjani upoje? Maana:

1. Ilitakiwa Yanga wafike uwanjani muda wa mchezo husika.

2. Kuwe na viongozi wote wa mechi husika wakiwemo makamishina na refarii uwanjani ambaye atawaongoza waingie uwanjan muda ukifika.

3. Saa moja na robo refarii angepuliza kipyenga kuashiria kuanza kwa mchezo.

4. Refarii angesubiria timu nyingine iingie uwanjani kwa muda wa dakika 15.

5. Baada ya dakika 15 kutimia bila timu nyingine kuingia uwanjani, refarii angemaliza mechi na timu iliyokuwepo uwanjan ingepewa ushindi na alama 3.

Je! kwa jana hayo yote yalikamilika ili Yanga wapewe ushindi na alama 3 kama kichwa cha habari cha bandiko hili kinavyodai?
 
Mwanangu hata ningekuwa ndiye kocha wa Simba ningeshauri hivyo! Timu haina Camarra, Che Fondo na Kapombe nani angezuia mtiti wa Pacomé, Aziz Ki, Ikangalombo, Mzize na Dube?
Ni wazi wamekimbia mechi ili wakati wa marudio majeruhi wao watakua washapona.

Yaani ile ni kusudi kabisa kwa kiburi cha kua na mashabiki wengi.
 
Wametoa official statement baada ya Simba kutoa official statement kuwa hawatoleta timu uwanjani. Sasa kati ya Simba na bodi ya ligi ni yupi kafuata maagizo ya mwenzake? Point yako ingekuwa sahihi kama ingetangulia official statement za mamlaka ya mpira Tanzania.

Ile official statement ina dosari chache ambazo wanaweza kuikataa. Haionesha namba ya mchezo, tarehe na saa ya mchezo kuanza. Sasa wao sijui walikuwa wametoa statement kugomea mechi ipi...
 
Suala hili liko wazi. Yanga anastahili point 3 na magoli 3. Kinyume na hapo Bodi ya michezo na TFF waachie ngazi maana wameshindwa kazi.
Ww ni mgeni nchi hii? Tff iachie ngazi kisa kelele za mashabiki? Dream on bro labda sio tz
 
Back
Top Bottom