mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
kanuni inasema timu pinzani itafanya mazoezi siku moja kabla ya mechi kwe nye uwanja husika.mlikuwa hamjui hii kanuni?Simba wameogopa, mechi ya Pamba walifanyiwa fujo na mkuu wa mkoa lakini hawakususa, mechi hii hawakutoa taaarifa kuwa watatumia uwanja wakati wanajua utaratibu, walifanya makusudi maana ilikuwa wale 6.
Wanastahili vp wakati match ilishahairishwa?Suala hili liko wazi. Yanga anastahili point 3 na magoli 3. Kinyume na hapo Bodi ya michezo na TFF waachie ngazi maana wameshindwa kazi.
Weeeee huogopi?Simba wameiogopa mechi wakala kona.
Sisi simba niwataalamu wa case za namna hii utopolo hamna ujanja hapa mshajaa kwenye mifumoHaihitaji hata darasa la saba kutambua kwamba kolo wameufyata....
kanuni inasema timu pinzani itafanya mazoezi siku moja kabla ya mechi kwe nye uwanja husika.mlikuwa hamjui hii kanuni?
mnataka mpewe taarifa ili mfiche nini!
Naishia kukuita ni mjinga ww kwa hiyo vitendo vya kipuuzi yanga inavyovifanya dhidi ya Simba tuendelee kuvifumbia macho,Haya ni manyunyu Simba hawatakubalii uhuni wenu tena.Simba wameogopa, mechi ya Pamba walifanyiwa fujo na mkuu wa mkoa lakini hawakususa, mechi hii hawakutoa taaarifa kuwa watatumia uwanja wakati wanajua utaratibu, walifanya makusudi maana ilikuwa wale 6.
Umeleta jambo jipya na la kufikirisha sana. Kwenye ile ishu walibweka sana, ila kubweka kwao kote walitaka yule RC aondolewe madarakani! Ila this time, wakaona bora wasuse!!Simba wameogopa, mechi ya Pamba walifanyiwa fujo na mkuu wa mkoa lakini hawakususa, mechi hii hawakutoa taaarifa kuwa watatumia uwanja wakati wanajua utaratibu, walifanya makusudi maana ilikuwa wale 6.
Zoezi la siku moja ingeathiri nini kama sio kuogopa mechi,kati ya yanga na simba hakuna mgeni katika uwanja wa Benjamini Mkapa,ni ujinga uliopitiliza.aliyeogopa ni yule aliyemkataza mwenzie asiingie uwanjani akakimbize majini
sio zoezi la siku moja.shida KANUNI.hapo tulitaka kukomoana tu.sio kingineZoezi la siku moja ingeathiri nini kama sio kuogopa mechi,kati ya yanga na simba hakuna mgeni katika uwanja wa Benjamini Mkapa,ni ujinga uliopitiliza.
Walidhani Simba ni kama Singida Black mavi waleNaishia kukuita ni mjinga ww kwa hiyo vitendo vya kipuuzi yanga inavyovifanya dhidi ya Simba tuendelee kuvifumbia macho,Haya ni manyunyu Simba hawatakubalii uhuni wenu tena.
No reform no Derby
Heri Simba icheze ligi daraja la pili kuliko kuendelea kucheza NBC ligi iliyotiwa mfukoni na genge la kihuni na kampuni ya wauza magodoro
Mwanangu hata ningekuwa ndiye kocha wa Simba ningeshauri hivyo! Timu haina Camarra, Che Fondo na Kapombe nani angezuia mtiti wa Pacomé, Aziz Ki, Ikangalombo, Mzize na Dube?Simba wameiogopa mechi wakala kona.
Mechi Ime Ahirishwa MchanaMaamuzi ya kuahirisha mpira wa jana ni kati ya maamuzi mabovu kuwahi kufanyika
Kwa sababu sababu zilizokuwepo hazikuwa na uzito wa kutosha kuahirisha mpira
1. Kitendo cha Simba kupeleka team uwanjani bila taarifa jioni/usiku, kilitosha kabisa kuwazuia kwa sababu; uongozi wa Uwanja unatakiwa kuwa na taarifa ili kuweka mazingira sawa ikiwepo kuwa na walinzi, wafanyakazi nk kwa ajili ya kusimamia taratibu za uwanja.
2. Kimsingi waliozuia Simba isiingie uwanjani ni walinzi wa uwanja, hata kama kulikuwa na washabiki wanao dhaniwa ni wa Yanga maeneo ya uwanjani....
3. Tusiaminishwe kuwa washabiki wachache tu ndio wenye nguvu ya kufanya kazi ya ulinzi wa uwanja kuliko wafanyakazi/walinzi wa uwanja walio ajiriwa.....tukiamini hivyo kuna siku team zitazuiwa kwenda uwanjani ili team nyingine ipate point tatu....
4. Mimi bado naamini team ya SIMBA ILIZUILIWA na walinzi wa uwanja kwa kutokufuata taratibu (kwenda uwanjani jioni/usiku bila taarifa) hayo ya mashabiki wa Yanga yamejazilishiwa tu.....
Kimsingi sababu zilikuwa Nyepesi ukiangalia gharama za maandalizi na washabiki ambao wengi tu walisafiri kutoka mikoani na Nnje ya Nchi. Inamaana mechi za Yanga na simba wanaenda kuzipunguzia ushabiki (fedha) kwani hakuna mtu ataliipa hela yake kwenda dar wakati kwa sababu nyepesi nyepesi mechi inaweza kuaharishwa!
Wasijisahaulishe, kauli mbiu ya Simba mwaka huu ni UBAYAUBWELA, viashiria vyovyote vile visivyo rafiki vitakumbana na kauli mbiu hiyo.Sisi simba niwataalamu wa case za namna hii utopolo hamna ujanja hapa mshajaa kwenye mifumo
Ni wazi wamekimbia mechi ili wakati wa marudio majeruhi wao watakua washapona.Mwanangu hata ningekuwa ndiye kocha wa Simba ningeshauri hivyo! Timu haina Camarra, Che Fondo na Kapombe nani angezuia mtiti wa Pacomé, Aziz Ki, Ikangalombo, Mzize na Dube?
Wametoa official statement baada ya Simba kutoa official statement kuwa hawatoleta timu uwanjani. Sasa kati ya Simba na bodi ya ligi ni yupi kafuata maagizo ya mwenzake? Point yako ingekuwa sahihi kama ingetangulia official statement za mamlaka ya mpira Tanzania.
Ww ni mgeni nchi hii? Tff iachie ngazi kisa kelele za mashabiki? Dream on bro labda sio tzSuala hili liko wazi. Yanga anastahili point 3 na magoli 3. Kinyume na hapo Bodi ya michezo na TFF waachie ngazi maana wameshindwa kazi.