Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Hovyoo sana hili jamaa!Mi sio mwanafunzi sioni sababu ya kumiliki akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hovyoo sana hili jamaa!Mi sio mwanafunzi sioni sababu ya kumiliki akili
Ndizi mbivu wewe, kasafishe mtaro uwe msafiWewe ndio puuzi la kutupwa asee!
Akili za wapuuz ndio mnawaza haya!! Kazi zako hizo nini??Ndizi mbivu wewe, kasafishe mtaro uwe msafi
Nitakupitia vile vile uwe na adabu kenge wewe, ondoa engese, ujue kabisa hapa umegusa pabayaAkili za wapuuz ndio mnawaza haya!! Kazi zako hizo nini??
Mkuu haya matusi ulifundishwa na nani? Yawezekana ulilelewa ktk familia ya kisimbe.Anyway , hongera Sana unajua kutukana.Choko sana [emoji3]
Wameliongelea Azam kwenye adhuhuri lounge.Sisi tunasubiri kuona namna Yondani atakavyoponyoka kwenye hili. Tunashangaa kuona wachambuzi wetu wa michezo wako kimya kuhusu hili.
Rudia tena,Nimeangalia hiyo video sijana mahali mayele amekanyagwa ila nimeona mayele akivuta mguu yondani
Wamesemaje tupe mrejeshoWameliongelea Azam kwenye adhuhuri lounge.
Nimeangalia tena sijaona, nilichokiona ni kuwa mayele aliuvuta mguu na yondani alikuwa akitumia force kuutoaRudia tena,
Alimkita na Kisihino kwenye Mbupu
Acha ubishi. Angalia dakika ya 15 na sekunde ya 12 utaona na ndio hapo Prof. Nabi akapewa kadi nyekundu.Nimeangalia tena sijaona, nilichokiona ni kuwa mayele aliuvuta mguu na yondani alikuwa akitumia force kuutoa
Labda uniambie Dakika ya ngapi sekunde ya ngapi ili niweke umakini zaidi
We jamaa mbona video uliyo attach ina dakika 2 halafu maelezo yako yanazungumzia dakika ya 15 na sekunde 12Acha ubishi. Angalia dakika ya 15 na sekunde ya 12 utaona na ndio hapo Prof. Nabi akapewa kadi nyekundu.
Yondani alaaaniwe.
TFF ya Karia hii wataikalia kimya.
Bangi siku zote haifai kabisa
mwenyewe anajiona mjanja Sana huyo pimbi