stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Sizungumzii kuwa Rais,nimesema kuwa mwanasiasa,mbona umepanic mkuu....Condoleez Rice hana lolote zaidi ya kuishiwa kuwa Waziri.
Yupo Benazir Bhuto,yupo Gloria Aroyo,wapo wengi sana wamewahi kuwa Marais huko Brazil,India na Sasa PM wa Italy ni Mwanamke.