Kemi Badenock Mdada wa Kiingereza ambaye Wazazi wake walitokea Nigeria aweka Historia kuwa Mwafrika wa Kwanza Kuongoza Chama cha Conservatives UK

Condoleez Rice hana lolote zaidi ya kuishiwa kuwa Waziri.

Yupo Benazir Bhuto,yupo Gloria Aroyo,wapo wengi sana wamewahi kuwa Marais huko Brazil,India na Sasa PM wa Italy ni Mwanamke.
Sizungumzii kuwa Rais,nimesema kuwa mwanasiasa,mbona umepanic mkuu....
 
Ukipitia hapo utaelewa vitu gani anakwenda kuvipiga vita
 
Cha ajabu Diversity siioni kwenye uongozi wa juu wa Labour Party I mean upande wa Colour.

Conservative walikuja na Sunak na sasa Kemi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…