Mwanamke ukiamua kuwa mwanasiasa ni lazima uonyeshe kuwa wewe ni tofauti sana na wanawake wengine.Unamkumbuka Magreth Thatcher,alikuwa anaitwa iron lady,unamkumbuka Angela Merkel,Condoleeza Rice n.k,sasa chama kama Consevative kumpitisha huyu mama tena ni mweusi,ni lazima atakuwa si wa kawaida...