Ken Gold Walinyimwa Goli dhidi ya Vibonde Yanga SC siku ya Jana

Ken Gold Walinyimwa Goli dhidi ya Vibonde Yanga SC siku ya Jana

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Azam sports wana umakusudi, hawana vertical top view camera, hawana camera nyuma ya goli, wachambuzi wa mchongo Mbwaduke na Kiemba wanalamba Asali kwa kusema uongo.

Aibu nyingine tena kwa ligi kuu ya Tanzania, Yanga SC wanaforce ushindi wa bahasha kwa mara ingine.

Diara juu ya mstari, je mpira nyuma ya Diara ulipita kwenye mstari upi na wa goli lipi?

Yanga SC msimu huu hafiki robo final ya CAF Champions League eague

Yanga SC maji wataita maji mma mwa mwa me.

Muda utaongea nawakariibisha kwenye vitasa vya comments.

Wadiz
 
Azam sports wana umakusudi, hawana vertical top view camera, hawana camera nyuma ya goli, wachambuzi wa mchongo Mbwaduke na Kiemba wanalamba Asali kwa kusema uongo.

Aibu nyingine tena kwa ligi kuu ya Tanzania, Yanga SC wanaforce ushindi wa bahasha kwa mara ingine.

Diara juu ya mstari, je mpira nyuma ya Diara ulipita kwenye mstari upi na WA goli lipi?

Yanga SC msimu hafiki robo final ya caf champions league

Yanga SC maji wataita mma mwa mwa me.

Muda utaongea nawakariibisha kwenye vitasa vya comments.

Wadiz
Duuuuuuuu watu wana hasiraaa
 
Azam sports wana umakusudi, hawana vertical top view camera, hawana camera nyuma ya goli, wachambuzi wa mchongo Mbwaduke na Kiemba wanalamba Asali kwa kusema uongo.

Aibu nyingine tena kwa ligi kuu ya Tanzania, Yanga SC wanaforce ushindi wa bahasha kwa mara ingine.

Diara juu ya mstari, je mpira nyuma ya Diara ulipita kwenye mstari upi na wa goli lipi?

Yanga SC msimu huu hafiki robo final ya CAF Champions League eague

Yanga SC maji wataita maji mma mwa mwa me.

Muda utaongea nawakariibisha kwenye vitasa vya comments.

Wadiz
Ni kweli kabisaa timu mbovu inapigwa 5 kama Simba.
 
Jinga kweli mpira ungenasa kwenye ile chuma ya pili kama lilikuwa goli kweli lkn na pale umepitiliza nyinyi madunduka fc hamnazo!
 
Azam sports wana umakusudi, hawana vertical top view camera, hawana camera nyuma ya goli, wachambuzi wa mchongo Mbwaduke na Kiemba wanalamba Asali kwa kusema uongo.

Aibu nyingine tena kwa ligi kuu ya Tanzania, Yanga SC wanaforce ushindi wa bahasha kwa mara ingine.

Diara juu ya mstari, je mpira nyuma ya Diara ulipita kwenye mstari upi na wa goli lipi?

Yanga SC msimu huu hafiki robo final ya CAF Champions League eague

Yanga SC maji wataita maji mma mwa mwa me.

Muda utaongea nawakariibisha kwenye vitasa vya comments.

Wadiz

KenGold 1 Yanga 0

hapo vipi?
 
Azam sports wana umakusudi, hawana vertical top view camera, hawana camera nyuma ya goli, wachambuzi wa mchongo Mbwaduke na Kiemba wanalamba Asali kwa kusema uongo.

Aibu nyingine tena kwa ligi kuu ya Tanzania, Yanga SC wanaforce ushindi wa bahasha kwa mara ingine.

Diara juu ya mstari, je mpira nyuma ya Diara ulipita kwenye mstari upi na wa goli lipi?

Yanga SC msimu huu hafiki robo final ya CAF Champions League eague

Yanga SC maji wataita maji mma mwa mwa me.

Muda utaongea nawakariibisha kwenye vitasa vya comments.

Wadiz
Mnaumizwa na nini ninyi majamaa!?
We una uhakika gani kama ni goli!?
Kaanzeni na Mamelody sundowns kwanza ndio muje kutizama goli la jana.
 
Wanasema Yanga wanabebwa kwani jana ball possession ilikua ngapi kwa ngapi!?
Watu wanachekesha sana aisee.
Ball possession na ushindi ni mambo mawili tofauti ndugu.Ushindi huhesabiwa kwa magoli tu,mechi ikiisha magoli 41-40 mshindi ni mwenye 41 na kama ni kombe anapewa yeye.
 
Ball possession na ushindi ni mambo mawili tofauti ndugu.Ushindi huhesabiwa kwa magoli tu,mechi ikiisha magoli 41-40 mshindi ni mwenye 41 na kama ni kombe anapewa yeye.
Unaelewa nini najaribu kuzungumzia!??
Timu iliyobebwa haiwezi ikaongoza total ball possession hususan goal attempts.
 
Bila ubishi, lile halikuwa goli na wala lisingeweza kudhaniwa kuwa goli. Mwamuzi alikuwa sahihi kwa 100% kulikataa. Hakuna namna kwa angle aliyokuwa amekaa mfungaji na kupiga kichwa ule mpira ungegonga mwamba na kuvuka mstari wote na halafu ukarudi tena uwanjani wenyewe. Kisayansi haiwezekani. Ni ama ugonge mwamba na kuingia wote wavuni (bila kurudi uwanjani) au ugonge mwamba na kurudi tena uwanjani.
 
Mpira ulivuka mstari sema ulipiga chuma ukawa unazuunguka kurud njee diara hakuna kipa mule
 
Back
Top Bottom