Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Azam sports wana umakusudi, hawana vertical top view camera, hawana camera nyuma ya goli, wachambuzi wa mchongo Mbwaduke na Kiemba wanalamba Asali kwa kusema uongo.
Aibu nyingine tena kwa ligi kuu ya Tanzania, Yanga SC wanaforce ushindi wa bahasha kwa mara ingine.
Diara juu ya mstari, je mpira nyuma ya Diara ulipita kwenye mstari upi na wa goli lipi?
Yanga SC msimu huu hafiki robo final ya CAF Champions League eague
Yanga SC maji wataita maji mma mwa mwa me.
Muda utaongea nawakariibisha kwenye vitasa vya comments.
Wadiz
Aibu nyingine tena kwa ligi kuu ya Tanzania, Yanga SC wanaforce ushindi wa bahasha kwa mara ingine.
Diara juu ya mstari, je mpira nyuma ya Diara ulipita kwenye mstari upi na wa goli lipi?
Yanga SC msimu huu hafiki robo final ya CAF Champions League eague
Yanga SC maji wataita maji mma mwa mwa me.
Muda utaongea nawakariibisha kwenye vitasa vya comments.
Wadiz