Corner goal na ile vinafananaje!?
Mbona una misconcept mzee!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Corner goal na ile vinafananaje!?
Kwahiyo kama hataingia wewe utapata nini au yanga kutoingia robo ni ajabu?Azam sports wana umakusudi, hawana vertical top view camera, hawana camera nyuma ya goli, wachambuzi wa mchongo Mbwaduke na Kiemba wanalamba Asali kwa kusema uongo.
Aibu nyingine tena kwa ligi kuu ya Tanzania, Yanga SC wanaforce ushindi wa bahasha kwa mara ingine.
Diara juu ya mstari, je mpira nyuma ya Diara ulipita kwenye mstari upi na wa goli lipi?
Yanga SC msimu huu hafiki robo final ya CAF Champions League eague
Yanga SC maji wataita maji mma mwa mwa me.
Muda utaongea nawakariibisha kwenye vitasa vya comments.
Wadiz
Mangungu anafaa au hafai kuwa m/kiti wenu?Azam sports wana umakusudi, hawana vertical top view camera, hawana camera nyuma ya goli, wachambuzi wa mchongo Mbwaduke na Kiemba wanalamba Asali kwa kusema uongo.
Aibu nyingine tena kwa ligi kuu ya Tanzania, Yanga SC wanaforce ushindi wa bahasha kwa mara ingine.
Diara juu ya mstari, je mpira nyuma ya Diara ulipita kwenye mstari upi na wa goli lipi?
Yanga SC msimu huu hafiki robo final ya CAF Champions League eague
Yanga SC maji wataita maji mma mwa mwa me.
Muda utaongea nawakariibisha kwenye vitasa vya comments.
Wadiz