Huyo Diarra alisimama angle gani!?Mpira huwez kupita nyuma ya mtu bila kuvuka mstar mkuu sema azam hawana kamara za angle zote
Kwani ni mara ya kwanza mpira kupita nyuma ya mtu na kuokolewa??
Fuatilia mpira vizuri bro kipa anaweza kusimama angle gani na mpira ukampita pasi na kuvuka goal line.