Kendrick Lamar na record ya dis track ya kwanza kushinda tuzo za Grammy

Kendrick Lamar na record ya dis track ya kwanza kushinda tuzo za Grammy

K.dot deserved it. Ofcourse they are not like us who deny it?
 
Drake ashaseme kwenye award acceptance speech kuwa hatumii Grammy kujua yeye ni mkali. So ni kawaida tu
Eminem Alisha diss, Kanye west, hizo tuzo ni whack tu.

Kingine drake ali sema "Kendrick final opened his mouth, someone go hand him a Grammy.
 
Eminem Alisha diss, Kanye west, hizo tuzo ni whack tu.

Kingine drake ali sema "Kendrick final opened his mouth, someone go hand him a Grammy.
😁😁 Ila wakipewa wanapokea.

Grammy imekuwa inabagua sana gemre pendwa za black community haswa Hiphop & RnB ndio maana wameziwekea categories zao ili zilizobakia iwe kwa genres pendwa
 
😁😁 Ila wakipewa wanapokea.

Grammy imekuwa inabagua sana gemre pendwa za black community haswa Hiphop & RnB ndio maana wameziwekea categories zao ili zilizobakia iwe kwa genres pendwa
Eminem Alisha sema hataki tuzo zao, maana ziko kibiashara na si talent.

since aseme haja enda, Wala kuweka Ngoma ishiriki huko.
 
Kwenye video yake napenda kipengele matu anauliza
What's the password JIBU LINAKUWA
I see dead people
Screenshot_20250204-054513.png
 
Lame as fk kama unaona kendrick anastahili hizo tuzo. Ni muendelezo tuu wa drama, Diss track yenyewe ya kifala sana super hyped, hayuko kwenye level ya drake, anatambaa na upepo. Ngoja tuone super bowl, kiwanda kinampambanisha hadi na lil wayne na yeye anajaa
Unaongea ujinga tu.
Kendrick hayupo kwenye level za Drake!?
Kendrick anatambaa na upepo?
Huyu huyu Kendrick Lamar aliyetupa albamu za Good Kid Maad City na To Pimp a Butterfly? DAMN!!!
Sioni haja ya kujibizana na mtu kama wewe kwa hoja.
SHUT THE FCK UP!!!
 
Ila na yenyewe mapopoma kira siku beyonce.........mpaka na mtoto wake..........lakini kuna watu wamefanya kazi na ni bora mpaka leo zinaishi ila hawana grammy.......ni chizi peke yake atakayesema grammy ni bora kuliko bet
 
Ila na yenyewe mapopoma kira siku beyonce.........mpaka na mtoto wake..........lakini kuna watu wamefanya kazi na ni bora mpaka leo zinaishi ila hawana grammy.......ni chizi peke yake atakayesema grammy ni bora kuliko bet
Mkongwe!
Unahisi msanii mchanga wa muziki hapo USA anatamani kushinda tuzo ipi kati ya BET na Grammy?
 
Haha sema UMG CEO aliona hilo ndo gap la Ku devalue thamani ya Drizzy, ili wakikaa mezani Drizzy awe na low negotiation power
Samahani.
Hivi hapa ulikuwa unamaanisha nini mkongwe?
 
Death of slim shady ali weka yeye una uhakika???

Nili jua Kuna mtu ata jaa, kaangalie aliye I nominate ni nani.

Jamaa toka album yake ya kamikaze, he ain't giving shit.
Na nimejaa kweli!!!
Haya toa maelezo hapa wewe Mogul wa muziki.

Nani huyo ambaye amesubmit kazi za Slim Shady kwenye tuzo za Grammy bila ruhusa ya Marshall Mathers?

Drake ameacha kusubmit kazi zake, na kweli watu hatuzioni kwenye nominations za Grammy.

Sasa tuambie Mogul, ni nani huyu mwenye kiburi cha kusubmit kazi za Eminem Grammy bila ruhusa ya GOAT Eminem?
Screenshot_2025-02-04-09-03-08-73_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Back
Top Bottom