Kenge ana madhara gani kwa Binadamu?

Kenge ana madhara gani kwa Binadamu?

Kenge hana madhara kwa binadamu,zaidi kuiba tukuku twako. Kenge nae anamkimbia binadamu. Labda akikakuta katoto mmekalaza nje hapo kwenye huo mwembe anaweza akajitwisha akapita nako. Lakini huyo ni wale wakubwa kabisa. Zaidi hapo hana madhara
 
Kenge ana madhara makubwa yanayopelekea kifo kama usipowai matibabu, anatumia mkia wake ambao una nguvu anaweza kuangusha mtoto (inategemea na ukubwa wa kenge).
Ukishaanguka anatumia ndimi zake ndefu mbili kuingiza puani anachokutana nacho, anakunyonya kamasi zote hadi ubongo,
USHAURI:Kuepukana nao na wasiweke makazi kwako, nakushauri fuga mbwa na paka nyumbani kwako
chai hii
 
Wasalaam wanajukwaa, ningependa kufahamishwa ni kwa namna gani Kenge anavyoweza kumdhuru Binadamu, namna ya kumuepuka kama kuna yoyote anafahamu njia za kukabiliana na viumbe hawa kama tulivyosikia jinsi ya kukabiliana na nyoka kwa kumwaga mafuta na njia zinginezo.

Nahitaji msaada wenu wana jukwaa maana huku makao mapya hawa viumbe wametapakaa kila kona kwhy ningependa kufahamishwa hayo ili kuishi salama na familia.

Nawasilisha kwa msaada wa haraka
Mkuu kwani umeenda kuishi ukengeni ama?
 
Kuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge.
Hii chai nimeipiga teke
 
Uongo huu maana ubongo ulipo na pua ni mbali japo kuna connection ndogo
Kenge ana madhara makubwa yanayopelekea kifo kama usipowai matibabu, anatumia mkia wake ambao una nguvu anaweza kuangusha mtoto (inategemea na ukubwa wa kenge).

Ukishaanguka anatumia ndimi zake ndefu mbili kuingiza puani anachokutana nacho, anakunyonya kamasi zote hadi ubongo,

USHAURI:Kuepukana nao na wasiweke makazi kwako, nakushauri fuga mbwa na paka nyumbani kwako
 
Kenge ana madhara makubwa yanayopelekea kifo kama usipowai matibabu, anatumia mkia wake ambao una nguvu anaweza kuangusha mtoto (inategemea na ukubwa wa kenge).

Ukishaanguka anatumia ndimi zake ndefu mbili kuingiza puani anachokutana nacho, anakunyonya kamasi zote hadi ubongo,

USHAURI:Kuepukana nao na wasiweke makazi kwako, nakushauri fuga mbwa na paka nyumbani kwako
Hii stori ya kenge kunyonya ubongo sijui ilitokea wapi.

Stori ndefu fupi, huo ni uongo.

Kenge ni mwoga. Ana speed ambayo huitumia kukimbia na siyo kushambulia.

Kenge ni hatari kwa mifugo midogo, mfano kuku, bata, sungura na mayai.

Kenge ambaye analinda mayai yake huweza kujaribu kutishia kwa kutoa sauti na kufanya bluffing moves ila akiona umesimama kidete huretreat na kukimbia.

Ambacho ni hakika ni kua kenge atashambulia mtoto mchanga kwakua mtoto mchanga hawezi msukuma kenge. Kuna familia zingine Ulaya zinafunga kenge lakini hua hawawi chanzo cha fatal accident.

Ingekua ubongo unatoka kwa kuvutwa na ulimi, sasa si mtu ukipenga kamasi ungeona na ubongo unatoka?
 
Hii stori ya kenge kunyonya ubongo sijui ilitokea wapi.
Stori ndefu fupi, huo ni uongo.
Kenge ni mwoga. Ana speed ambayo huitumia kukimbia na siyo kushambulia.
Kenge ni hatari kwa mifugo midogo, mfano kuku, bata, sungura na mayai.
Kenge ambaye analinda mayai yake huweza kujaribu kutishia kwa kutoa sauti na kufanya bluffing moves ila akiona umesimama kidete huretreat na kukimbia.
Ambacho ni hakika ni kua kenge atashambulia mtoto mchanga kwakua mtoto mchanga hawezi msukuma kenge. Kuna familia zingine Ulaya zinafunga kenge lakini hua hawawi chanzo cha fatal accident.
Ingekua ubongo unatoka kwa kuvutwa na ulimi, sasa si mtu ukipenga kamasi ungeona na ubongo unatoka?
Huu ndiyo ukweli
 
Kenge ana madhara makubwa yanayopelekea kifo kama usipowai matibabu, anatumia mkia wake ambao una nguvu anaweza kuangusha mtoto (inategemea na ukubwa wa kenge).

Ukishaanguka anatumia ndimi zake ndefu mbili kuingiza puani anachokutana nacho, anakunyonya kamasi zote hadi ubongo,

USHAURI:Kuepukana nao na wasiweke makazi kwako, nakushauri fuga mbwa na paka nyumbani kwako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi stori tulikuwagaga tunapigianaga enzi za primary
 
Ungeeleza wanakutishaje.. na kivipi unahofu.. hao unaweza fanya wakimbie ila usiwatishe kujiona kama wataumia hapo ndio wanakuwa wakali

Natumaini utapata suruhisho.. ongea na majirani zako uwaulize pia.. na najua palipo na kuku na mayai wanapenda kuwepo sana hata kwa mabanda wanaweza kuchimba shimo na kuingia kwenye banda.

Soma hapa pia labda itakusaidia
Wanaitwa Nile monitors kwa kimombo

 
Back
Top Bottom