FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,692
- 4,442
Kusikia mara nyingi haileti maana kuwa ni kweli.Sio mara ya kwanza nasikia haya
Tuletee mtu aliyenyonywa ubongo hapa na kenge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusikia mara nyingi haileti maana kuwa ni kweli.Sio mara ya kwanza nasikia haya
Ya maziwa ya rangi ama chai masala?Hii ni chai kama chai zingine.
Nishachinja na kuwarestisha in peace sana hawa viumbe kwa kutumia silaha za jadi (bila kumtoa damu) na mbwa wangu wawili mweusi anaitwa Simba na mweusi anaitwa Hodi.Jaribu kujirengesha kwake siku moja mkuu, kumbuka kutovaa viatu wakati wa hilo zoezi matokeo utayapata
chai hiiKenge ana madhara makubwa yanayopelekea kifo kama usipowai matibabu, anatumia mkia wake ambao una nguvu anaweza kuangusha mtoto (inategemea na ukubwa wa kenge).
Ukishaanguka anatumia ndimi zake ndefu mbili kuingiza puani anachokutana nacho, anakunyonya kamasi zote hadi ubongo,
USHAURI:Kuepukana nao na wasiweke makazi kwako, nakushauri fuga mbwa na paka nyumbani kwako
"Mweusi anaitwa Simba na Mweusi anaitwa Hodi."Nishachinja na kuwarestisha in peace sana hawa viumbe kwa kutumia silaha za jadi (bila kumtoa damu) na mbwa wangu wawili mweusi anaitwa Simba na mweusi anaitwa Hodi.
Mkuu kwani umeenda kuishi ukengeni ama?Wasalaam wanajukwaa, ningependa kufahamishwa ni kwa namna gani Kenge anavyoweza kumdhuru Binadamu, namna ya kumuepuka kama kuna yoyote anafahamu njia za kukabiliana na viumbe hawa kama tulivyosikia jinsi ya kukabiliana na nyoka kwa kumwaga mafuta na njia zinginezo.
Nahitaji msaada wenu wana jukwaa maana huku makao mapya hawa viumbe wametapakaa kila kona kwhy ningependa kufahamishwa hayo ili kuishi salama na familia.
Nawasilisha kwa msaada wa haraka
Hii chai nimeipiga tekeKuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge.
Kenge ana madhara makubwa yanayopelekea kifo kama usipowai matibabu, anatumia mkia wake ambao una nguvu anaweza kuangusha mtoto (inategemea na ukubwa wa kenge).
Ukishaanguka anatumia ndimi zake ndefu mbili kuingiza puani anachokutana nacho, anakunyonya kamasi zote hadi ubongo,
USHAURI:Kuepukana nao na wasiweke makazi kwako, nakushauri fuga mbwa na paka nyumbani kwako
Duu ubongo!? Sijui kama kuna kitu kimehifadhiwa vizuri kama ubongo
Huo ulimi unapitia wapi?
Hii stori ya kenge kunyonya ubongo sijui ilitokea wapi.Kenge ana madhara makubwa yanayopelekea kifo kama usipowai matibabu, anatumia mkia wake ambao una nguvu anaweza kuangusha mtoto (inategemea na ukubwa wa kenge).
Ukishaanguka anatumia ndimi zake ndefu mbili kuingiza puani anachokutana nacho, anakunyonya kamasi zote hadi ubongo,
USHAURI:Kuepukana nao na wasiweke makazi kwako, nakushauri fuga mbwa na paka nyumbani kwako
Huyo jamaa ameshiba maziwa ya usukumani."Mweusi anaitwa Simba na Mweusi anaitwa Hodi."
Kenge akikuona anakimbia huo muda wa kuchapana na mikia yeye hana.Jaribu kujirengesha kwake siku moja mkuu, kumbuka kutovaa viatu wakati wa hilo zoezi matokeo utayapata
Huu ndiyo ukweliHii stori ya kenge kunyonya ubongo sijui ilitokea wapi.
Stori ndefu fupi, huo ni uongo.
Kenge ni mwoga. Ana speed ambayo huitumia kukimbia na siyo kushambulia.
Kenge ni hatari kwa mifugo midogo, mfano kuku, bata, sungura na mayai.
Kenge ambaye analinda mayai yake huweza kujaribu kutishia kwa kutoa sauti na kufanya bluffing moves ila akiona umesimama kidete huretreat na kukimbia.
Ambacho ni hakika ni kua kenge atashambulia mtoto mchanga kwakua mtoto mchanga hawezi msukuma kenge. Kuna familia zingine Ulaya zinafunga kenge lakini hua hawawi chanzo cha fatal accident.
Ingekua ubongo unatoka kwa kuvutwa na ulimi, sasa si mtu ukipenga kamasi ungeona na ubongo unatoka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi stori tulikuwagaga tunapigianaga enzi za primaryKenge ana madhara makubwa yanayopelekea kifo kama usipowai matibabu, anatumia mkia wake ambao una nguvu anaweza kuangusha mtoto (inategemea na ukubwa wa kenge).
Ukishaanguka anatumia ndimi zake ndefu mbili kuingiza puani anachokutana nacho, anakunyonya kamasi zote hadi ubongo,
USHAURI:Kuepukana nao na wasiweke makazi kwako, nakushauri fuga mbwa na paka nyumbani kwako
Hii ni chai kama chai zingine.
Chai mkuu