MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Sasa hiyo siyo sifa nzuri kwa nchi yenu.hamjifunzi kwa wanaigeria mpaka wanazuiwa kuingia nchi zingine kwa sababu ya drugs na utapeli. Ameir wa falme za kiarabu atawafukuza wakenya huko dubai ndo mtaiona hasara yake.
Mlisema atafanya albadiri, afanye na sisi tufanye ya kienyeji tuone nani bingwa....