Kenya again

Kenya again

Lakini si unaona alivyofanya penetration kwenye high authorities? Sasa anawapaka kinyesiView attachment 1104455

Utakua mgeni sana kwa haya mambo, kwenye nchi yoyote huwa kuna watu fulani fulani wenye connections to highest office of the land. Hata hapo Bongo kuna jamaa utakuta kwake nyumbani ametundika mapicha amepiga na Kikwete na Magufuli yaani mapicha kama hayo ndio mtaji, kwamba Mchina akitua anataka kuonana na uongozi wa nchi inabidi akutane na watu kama hao, anaonyeshwa hayo mapicha ya ikulu na kuingia mkenge.
 
Utakua mgeni sana kwa haya mambo, kwenye nchi yoyote huwa kuna watu fulani fulani wenye connections to highest office of the land. Hata hapo Bongo kuna jamaa utakuta kwake nyumbani ametundika mapicha amepiga na Kikwete na Magufuli yaani mapicha kama hayo ndio mtaji, kwamba Mchina akitua anataka kuonana na uongozi wa nchi inabidi akutane na watu kama hao, anaonyeshwa hayo mapicha ya ikulu na kuingia mkenge.
That's why I still hate POLITIK.. [emoji34][emoji34][emoji34]... The diplomatic relationship over the two nations has gone viral... What's wrong with our African politicians? Used n been used for gruesome deals? View attachment 1104052
 
Fake GDP
Fake PPP
Fake fake fake
Wakenya kazi yao kuiba tuu...

Wametuibia mlima kilimanjaro wanasema wakwao, samatta wanamsema wakwao na naskia saivi wana mpango wa kumwiba JPM hahah



Kilimanjaro na Samatta watuachie.
 
Vijana wa Kibera ni wevi kweli ila mara hii wameingia cha kike kwa muarabu..Ile kampuni ya Kenya ya kununua korosho ndio maana ilitupiwa virago
 
Vijana wa Kibera ni wevi kweli ila mara hii wameingia cha kike kwa muarabu..Ile kampuni ya Kenya ya kununua korosho ndio maana ilitupiwa virago
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
That's why I still hate POLITIK.. [emoji34][emoji34][emoji34]... The diplomatic relationship over the two nations has gone viral... What's wrong with our African politicians? Used n been used for gruesome deals? View attachment 1104052
What diplomatic relation has gone sour, yaani ufanye biashara na makajanja wa mjini kisha upigwe halafu uibue mambo ya diplomatic.
Kunazo channels halali za kununua dhahabu, angezifuata asingepigwa, kwa sasa hamna kikubwa anachoweza kusaidiwa nacho....afie mbele na bado tutaendelea kupiga biashara na Dubai na tutaenda sana huko.
 
What diplomatic relation has gone sour, yaani ufanye biashara na makajanja wa mjini kisha upigwe halafu uibue mambo ya diplomatic.
Kunazo channels halali za kununua dhahabu, angezifuata asingepigwa, kwa sasa hamna kikubwa anachoweza kusaidiwa nacho....afie mbele na bado tutaendelea kupiga biashara na Dubai na tutaenda sana huko.
Je viongozi wenu wana guts za kuongea kama unavyoongea hapa brother?
 
Duu wanamcheka tena... Badala ya kuchukua hatua?

Hatua zitachukuliwa za kumzuga ila ni kupotezeana muda, maana angefuata njia halali ingekua rahisi kumsaidia, lakini mbinu za magendo ukipigwa utasaidiwaje.
 
Afadhali Kenya mara Mia moja, Tz inaibiwa madini kila siku na hakuna was kuteta...Gesi ya mtwara, Tanzanite, dhahabu, pembe za ndovu afu ongeza miradi hewa na isiokamilika bila kusahau umasikini, utapia mlo, njaa na incompetent education = LDC.
Mimi ni Mtz lakini nakuunga mkono mkuu. Vyote ulivyoongea ni sahihi. Hii nchi inakera.
 
Ooops!!! Inamanisha wako kwa simulation, fake economic Report , Mashirika ya UN yanapta fake data, mbele fake leaders, fake citizen etc kwa hiyo hata humu Jf ni fake member toka kenya wata comment eeh?
Kama unadhani mimi ni fake Citizen, basi nipe mke wako uone kama sitamjaza mimba sasa hivi ndio ujue mimi ni Original.
 
Adilinanduguze omba omba wenu wamejaa kila barabara katika miji ya Kenya wakinyoosha vibakuli, Sasa nashangaa vipi mtawapa kazi "House Maids" wa Kenya ambao wanalipwa zaidi ya hata walimu wenu wakuu??? Hapana tumia kichwa Kama kifuniko cha shingo...
Sasa hao ombaomba ujui mungu wao yupo kenya anaitwa Uhuru Kenyatta ombaomba mkuu beridheburi
 
Sasa afadhali ya nini wakati nyie mmetapeli dhahabu kwa warabu
Weta ametapeli Waarabu dhahabu ya DRC, Nyinyi mnatapeliwa kila kitu na Foreigners pamoja na Serikali yenyu kwa "pesa zetu za ndani". Mmmh!
 
Back
Top Bottom