Mkuu, uislam ni dini inayonezwa kwa neno, si rushwa, hila wala ulaghai. Hivyo pia, kuwa na watu wengi siyo sababu ya kuukwepa moto wa mungu. wingi ungekuwa na tijja mbele ya mungu asingewaangamiza watu wa nabii NUHU ambao wachache waliamini na wengi walimkataa.Kichwa cha habari ni kuwa; Askofu asilim na wafuasi wake!
Unasema ana umri wa miaka 65 halafu ni kanisa la East Africa. Kwa miaka 65 kanisa aliloongoza EA nzima likawa na waumini 23 tu huku akizunguka pwani zoote za EA.
Naunga mkono wazo lake la kusilimi. Hiyo ni dini isoongezeka kwani iliingia EA kabla ya ukristo lakini bado wameishia hapo hapo Pwani na himaya yao imeshapekechwa na Christianity kiasi kwamba hawana walipo imara tena.
Hao ndo wala nguruwe wa kwanza kuliko hata wafuga nguruwe
Unadhan Mbinguni n Magogoni??? Tumia akil Mkuu acha kuendexhwa..naona wewe ushafika mbinguni 😀😀😀😀
MkuuMasha'Allah
Allah AkbarTakbirrrrrrrrrrrrrrrrrr!
wakt ukiongea hayo huku utambue kuwa uislam ndiyo dini inayokuwa kwa kasi kubwa..na baadh ya nchi huwa wanasema miongon mwa sabab za uislam kuenea kwa haraka na kuwa na waumin wenye idad kubwa ni kuoa wake mpaka wa 4.Kichwa cha habari ni kuwa; Askofu asilim na wafuasi wake!
Unasema ana umri wa miaka 65 halafu ni kanisa la East Africa. Kwa miaka 65 kanisa aliloongoza EA nzima likawa na waumini 23 tu huku akizunguka pwani zoote za EA.
Naunga mkono wazo lake la kusilimi. Hiyo ni dini isoongezeka kwani iliingia EA kabla ya ukristo lakini bado wameishia hapo hapo Pwani na himaya yao imeshapekechwa na Christianity kiasi kwamba hawana walipo imara tena.
Hao ndo wala nguruwe wa kwanza kuliko hata wafuga nguruwe
maneno ya mkosajiHana lolote huyu mnafiq kafuata ma bikira 70 wenye macho makubwa kilichompeleka huko ni vigenye mshindo tu
ndo maneno yenu kila cku hayoUjue kashapata jini huyo.
nayo pia ni miongoni mwa starehe mzeeHana lolote huyu mnafiq kafuata ma bikira 70 wenye macho makubwa kilichompeleka huko ni vigenye mshindo tu
Mkuu, uislam ni dini inayonezwa kwa neno, si rushwa, hila wala ulaghai. Hivyo pia, kuwa na watu wengi siyo sababu ya kuukwepa moto wa mungu. wingi ungekuwa na tijja mbele ya mungu asingewaangamiza watu wa nabii NUHU ambao wachache waliamini na wengi walimkataa.
wakt ukiongea hayo huku utambue kuwa uislam ndiyo dini inayokuwa kwa kasi kubwa..na baadh ya nchi huwa wanasema miongon mwa sabab za uislam kuenea kwa haraka na kuwa na waumin wenye idad kubwa ni kuoa wake mpaka wa 4.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwanangu umeuaaaWaalike na wenzako ili waweze kujiunga kwenye group share
Follow this link to join my WhatsApp group: KING KIBA FANS
Hapana mkuu umeambiwa ni Askofu mwenye wafuasi 23 katika Kanisa lake lote.Nilidhani askofu wa Roma au KKKT..
Basi huyo Mungu ana upendelea.. Achague wake wakuwaokoa wengine awaacheMwenyezi Mungu humuokoa aliyemchagua ili asipotoke kabla umauti.Najua hii siyo habari njema kwa manaswara.
Kumbe ni hawa maaskofu wa kujiita.. Asante mkuu!Hapana mkuu umeambiwa ni Askofu mwenye wafuasi 23 katika Kanisa lake lote.