kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,815
- 6,517
Nilivoona askofu na waumini wamesilimu nikajua tu sio makanisa hale ya kitasisi
Ni ngumu RC au KKKT askofu asilimu na parokia/usharika wake.
Ila kwa ministry ni rahisi sana maana askofu unakuta ana kanisa moja tu na labda waumini 500.
But vizuri kwao kuchagua walichoona chema kwao na vizazi vyao
Ni ngumu RC au KKKT askofu asilimu na parokia/usharika wake.
Ila kwa ministry ni rahisi sana maana askofu unakuta ana kanisa moja tu na labda waumini 500.
But vizuri kwao kuchagua walichoona chema kwao na vizazi vyao