KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

Karibu sana utekeleze maagizo ya allah [emoji117]
c86654401cdee14d8055d30b18e18dd6.jpg
ili ufuzu ukazawadiwe mahulu 72 wenye makalio ft.40 ujiuji kiuno kama nyigu, macho kama vikombe...yalah [emoji8] [emoji39]
Duuuuh[emoji40]
 
Kaama dini??
Mungu hakuwahii kuumba dini kuwa kigezo cha kuingia ktk Ufalme wa Mungu..nampenda Yesu kwasababu hakuwahi kuhubiri dini hata siku1,ila alihubiri Ufalme wa Mungu pekee,na Yesu(mfalme)hakuanzsha hiyo dini ya ukristu,ukristu n.k so sitishiki mtu akiwa mkristo alafu akaruhusu ushoga,au ndoa Za jinsia moja..najua uyo yupo ktk dini ila hayupo ktk Ufalme wa Mungu,so sitishiki na dini wala nini...Mungu alirejesha Ufalme wake hapa duniani ndomaana Bwana wetu Yesu hakuwahi kuhubiri dini Bali kila alipohubiri alihubiri Ufalme Ufalme...l
Mathayo 4:17
Inna ddiina indallahil Islam.

Dini ipo na hilo ndilo andiko Mungu akiweka wazi katika kitabu chake.
 
Inna ddiina indallahil Islam.

Dini ipo na hilo ndilo andiko Mungu akiweka wazi katika kitabu chake.
Wewe unaamini biblia?
Mimi binafsi siiamini qurani,Ni kitabu cha kihuni tu ,mtu mmoja aka Mudi alikuja na kuanzsha hioo dini..
Njoo na facts mkuu
 
Mudy alikuja miaka zaidi ya 500 baada ya Yesu kuondoka.
Tambua ya kwamba kwake Yesu kila goti litapigwa.
Huko kwingine ni kupoteza muda
 
Kasome maandiko. Hata 10 kwa siku moja unalipa mahari, unaoa, unataliki. Mbona mwatufanya ka hatuijui hii dini nyie.
mwisho ni wake wa4 tu ndo unaopaswa kuishi nao pamoja..ikiwa umekwazana na mmoja au kumetokea sabab za kuachana unamuacha na unabak na wa4 ukiongeza mwngne anakuwa wa4 sasa hao wake 10 umewatoa wap..siamin km jf ckuiz kuna mamburula wa kiwango hiki..maneno ya vijiwen ndo unayatumia kuleta ushahid hapa
 
Yesu akawaambia, mimi ndimi njia na kweli na UZIMA, MTU haji kwa BABA ila kwa njia ya mimi, Yn 14:6. YESU ndiyo njia ya kwenda kwa MWENYEZI MUNGU, kwanini uhangaike, mwamini YESU maana wa MUNGU upAte uzima wa milele
huyaelew hayo maandko
 
Wewe unaamini biblia?
Mimi binafsi siiamini qurani,Ni kitabu cha kihuni tu ,mtu mmoja aka Mudi alikuja na kuanzsha hioo dini..
Njoo na facts mkuu
ww unaamini biblia ya vitab 73 au ile ya vitab 66???...ktk Quran kuna aya zinazozungumzia jins mimba inavyopatikana na mtoto anavyokuwa tumboni pia inaeleza kutochanganyika kwa maji ya bahar mbili zinapokutana je ikiwa Quran imetungwa na Muhammad haya mambo aliyasomea wap na lini??nukuu kitab cha historia
 
Mudy alikuja miaka zaidi ya 500 baada ya Yesu kuondoka.
Tambua ya kwamba kwake Yesu kila goti litapigwa.
Huko kwingine ni kupoteza muda
hivi mpk sasa jf bado kuna mamburula??sasa nabii Mussa alikuja baada ya nabii Daud so hii inaonyesha kuwa nabii Mussa c lolote c chochote?
 
Back
Top Bottom