digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,572
- 2,286
Mzee akitoka jela naomba asikae na huyu binti. Kuna jambo linaweza kulipa fadhila hapo nina wasiwasi.Huyu mtoto kashajitia laana bila ya kujua
Huyo judge na huyo mama lao lilikuwa moja, ila angekata rufaa on the basis ya kunyimwa DNA testAliomba kufanya DNA judge akamwambia ni expensive,akawambia atalipa judge akamjibu muda ushapita wa kufanya DNA
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmacha....malizia na mliΓΆ wa mbuzi
Imeniuma sana jaman ten years ni ming sana huyo mtoto na mama ake wana roho mbaya sanaHajatoka...ni waandishi wa habari waliamua kuwapatanisha wakamfuta huyo mtoto wakamleta palr gerezani..kabinti enzi hizo kalikua kadogo nw mdada kbs
Mzee akitoka jela naomba asikae na huyu binti. Kuna jambo linaweza kulipa fadhila hapo nina wasiwasi.
Hivi umeelewa ulichokiandika?DNA test ni hisia za kuhisi kuwa alcholalamika binti ni ukweli mtupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rushwa mkuu. Kuna possibility tushws ikitumikaMahakama za kishenz unawezaji kutoa hukumu without undergoing DNA TEST ili ku verify Kama kweli alimbaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeniuma sana jaman ten years ni ming sana huyo mtoto na mama ake wana roho mbaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
kusingiziwa kusikieni tuu, mbaya zaidi na shahidi wa uongo awepo.... utatamani Jua liwe Camera.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzungu ni Mzungu tu...... Sisi ma black nigger tuna laana ya asili,
Hivi umeelewa ulichokiandika?
Hivi umemuona huyo mtoto? Kabla ya miaka kumi unahisi alikua na umri gani.Imeniuma sana jaman ten years ni ming sana huyo mtoto na mama ake wana roho mbaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
DNA test sio isihia bwana ww vip.DNA test ni hisia za kuhisi kuwa alcholalamika binti ni ukweli mtupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kumbe huu mchongo na polis walipewa chao jaman ila la kushukuru mungu mtoto ameumia kukaa na sir muda mrefu amesema ukweli umejulikanaHuyu mtoto ht usimlaumu..ungeangalia siku hyo ndo ungeelewa..unaambiwa mamake ndo alikua anaenda polis kutengeneza ushahid fake..na dogo akawa anatishwa na polis eti usiposema hv na hv utakaa hapa ww badala ya babako...soo sad
Kwa hiyo walichukua hizo mali?