KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

Imeniuma sana jaman ten years ni ming sana huyo mtoto na mama ake wana roho mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app


Huyu mtoto ht usimlaumu..ungeangalia siku hyo ndo ungeelewa..unaambiwa mamake ndo alikua anaenda polis kutengeneza ushahid fake..na dogo akawa anatishwa na polis eti usiposema hv na hv utakaa hapa ww badala ya babako...soo sad
 
Watakuja watanganyika wanaoishadadia Kenya kwa kitu kuisifia sana na Kenyatta kwa hili.
 
Huyu mtoto ht usimlaumu..ungeangalia siku hyo ndo ungeelewa..unaambiwa mamake ndo alikua anaenda polis kutengeneza ushahid fake..na dogo akawa anatishwa na polis eti usiposema hv na hv utakaa hapa ww badala ya babako...soo sad
Aisee kumbe huu mchongo na polis walipewa chao jaman ila la kushukuru mungu mtoto ameumia kukaa na sir muda mrefu amesema ukweli umejulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom