hi wana jf.
kuna habari zisizopendeza, huko Mji wa Migori ni risasi tu mji mzima. nyumba za wakikuyu zinachomwa moto, magari ya wakurya nayo yanachomwa moto, watu wanauna coz wana KIbaki anaendelea kuiba kura. Eeee Mungu wasaidie wakenya bongo tumechoka kubeba wakimbizi!!!!
Acha unafiki wako hapa kwani kitu gani kibaya kimesemwa hapo.
Raila Odinga kesha twaa mikoba yote. Kenyans have decided.
Mh. Zitto(MB),
Heshima mbele, Tahadhari tu mheshimiwa!!! hili si jambo rahisi!!! JF nayo ni chombo kinaangaliwa duniani kote including Kenya,,, kwa hiyo kama ODM wanavyosubiri official results from ECK, na wewe ungevumilia kidogo kufanya hivyo... hili ni jambo tete!!! Kumbuka Zanzibar (Shariff na Komandoo) na DTV
Kasungura unaweza kushangaa kuwa wakenya watakaokuja si wakimbizi bali watakuja nyumbani, kama Kenyan Tanzania akija atakuwa amekuja kwao, au wajaluo wakienda kwa kina Marando na Sarungi ni kwao, au wamasai wa kenya ambao wengine karibu ukoo wao mzima uko upande wa Tanzania hao huwezi kuita wakimbizi, wakenya kwa ujumla wakija Tanzania hawawezi kuwa kwenye category ya wakimbizi, labda tunaweza kusema ndugu zetu leo wamekuja kwa wingi
Naona mwenyekiti wa tume anamsema Kibaki indirect....anasema He can understand why people can't accept defeat
Msigeuze hii kuwa saisa za TZ... Kula Focus! ODM OYEEE!
Mhenwa tusubiri matokeo..Hoja zipo! ODM Oyeee!
Kasungura unaweza kushangaa kuwa wakenya watakaokuja si wakimbizi bali watakuja nyumbani, kama Kenyan Tanzania akija atakuwa amekuja kwao, au wajaluo wakienda kwa kina Marando na Sarungi ni kwao, au wamasai wa kenya ambao wengine karibu ukoo wao mzima uko upande wa Tanzania hao huwezi kuita wakimbizi, wakenya kwa ujumla wakija Tanzania hawawezi kuwa kwenye category ya wakimbizi, labda tunaweza kusema ndugu zetu leo wamekuja kwa wingi
Weeπ‘ sasa naona we unafaa kwenda kigoma.π Nini hii? Ukabila? enda mbali