Wakati Kibaki anashinda uchaguzi wa 2002, Moi alichanganyikiwa kiasi kwamba hata handing over ya urais ilikuwa kama ya kulazimishana. Kama Raila kashinda basi tutegemee maajabu makubwa zaidi. Kitendo cha Kibaki kutoa tusi huku akijua kwamba anahojiwa na mwandishi wa habari wa BBC ni dalili tosha ya kuonyesha kwamba mambo yanaweza kuwa magumu sana kwenye shughuli ya kukabidhiana madaraka. (Huu ni mtazamo wangu iwapo Raila kashinda kweli)