_SiDe_
Member
- Mar 28, 2007
- 89
- 3
Katiba ya Tanzania inampa mamlaka raisi ya kuwafukuza kazi wabunge wote (Kuvunja bunge). Ninahofu isije kuwa na Kenya katiba yao inaruhusu hili.
Kweli KATIBA inamruhusu Mhe Rais kuvunja BUNGE, ila ukumbuke na yeye mwenyewe pia huwa ndio mwisho wake. (nijuavyo)