Bora maana mimi na wajaluo aaaa
Kwa UHURU hata akiniita leo nitaenda na kuimba sana Kenya iwe na Amani na hata Tanzania CHADEMA mjifunze maoni ya Wananchi ni Maoni ya MUNGU
Hukumu haiuhusiana na kauli yangu kuwa Kenya ni kinara wa demokrasia Afirka Mashariki.umeisoma hiyo hukumu?
unexpectedly all the six judges arrived at the same judgement as if the petitioners were just trying!!
Tume huru za Uchaguzi ndo kiboko ya hawa wanaojifanya wamekamata Kontena Feki la 40FT LENYE KURA ZA MPINZANI WAKE
Verdict itaruka live kupitia The citizen. Wenye king'amuzi cha Star times wataweza kuona live.
Tuna mengi ya kujifunza hapa! Wenzetu wanarusha kesi live kwenye runinga, sisi inaitwa kuingilia uhuru wa mahakama! Na wale wajinga wengine wanataka eti hata bunge lisirushwe live.