Kenya GSU parade - fire

Kenya GSU parade - fire

kama vipo kwenu basi vinafanywa kizushi.

usingeshangaa sisi kuita polisi jeshi.labda sababu mnaiga wanaume zenu na mmeziba masikio ndio unakosa exposure kudhani hivyo ndio formular duniani.

nenda china kajifunze jeshi la kijamaa limekaa mfumo gani.
Vitu hvo tulifanya kitambo sana, zama zile ilikua huwezi jiunga chuo kikuu mpka upitie NYS...bt hyo sheria sai ni vile imetolewa, kwhyo mkae mkijua vitu mnavyoona eti mnafanya sai mjue kenya imevifanya kitambo
 
kama utataka kueleweshwa tuliza kalio.ila ukiendelea kuruka ruka namna hii hatutafanikisha zoezi la kuondoa ujinga kichwani kwako.
Kwhyo unabisha km kuna vyuma vinashika moto na kujama[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vitu hvo tulifanya kitambo sana, zama zile ilikua huwezi jiunga chuo kikuu mpka upitie NYS...bt hyo sheria sai ni vile imetolewa, kwhyo mkae mkijua vitu mnavyoona eti mnafanya sai mjue kenya imevifanya kitambo

mmefanya na maamuzi yenu why tufanye sababu mliishafanya budaa!!!!!!



huo ndio utaratibu wetu,nyie wasee wa polisi cervice,admin police na gen polisi pia ndio utaratibu wenu.

na wala hatuwashangai.
 
Kwhyo unabisha km kuna vyuma vinashika moto na kujama[emoji23][emoji23][emoji23]

kama unajua kuna vyuma vina jam,usingebeza hiyo silaha maana ni 60% plastics,ndio maana nikasema hiyo field msiwe waongeaji sana maana mnasiliba vitu msivyovifahamu vyema.
 
mmefanya na maamuzi yenu why tufanye sababu mliishafanya budaa!!!!!!



huo ndio utaratibu wetu,nyie wasee wa polisi cervice,admin police na gen polisi pia ndio utaratibu wenu.

na wala hatuwashangai.
Hahaha!!umefanya vyema pia kunyamaza
 
kama unajua kuna vyuma vina jam,usingebeza hiyo silaha maana ni 60% plastics,ndio maana nikasema hiyo field msiwe waongeaji sana maana mnasiliba vitu msivyovifahamu vyema.
Jamaa ilkua anaongelea ubora wala sio kujam wala nn
 
Kwanza hao Team 18 ni wabaya. Hawa wame beba maghaidi hata kutoka somalia ndani kati kati ya al-shabaab,na kuwa safirisha moja kwa moja mpaka Guantamo, ni kama hao ni special force ya CIA ndani ya Gsu. Lakini wako fully equipped na 60% funded na CIA.
Hadi wameengezewa 30% ya mishara yao na mwamerika napia after every mission allowances za maana
 
Km vile Range na Accuracy

and what about flexibility!!!!

hivi unajua hata sababu ya kutumia pistol kumlinda rais kweli???ulinzi wa viongozi ni elimu hii sio maonyesho[emoji16][emoji16][emoji16].
 
Hiki kitengo cha GSU ni moto, kwenye vita vya fire arm to firearm, hiki kikosi kinaweza kusambaratisha TPDF vibaya.




Shoplifters tuliona waliyofanya pale westget
 
and what about flexibility!!!!

hivi unajua hata sababu ya kutumia pistol kumlinda rais kweli???ulinzi wa viongozi ni elimu hii sio maonyesho[emoji16][emoji16][emoji16].
kwa bunduki hakuna kitu kama flexibility, enda udanganye watanzania wenzako. Kuna accuracy, uzito, additions kama grenade launcher etc. Wewe na flexibility yako utakufa kabla ufungue mdomo.
 
and what about flexibility!!!!

hivi unajua hata sababu ya kutumia pistol kumlinda rais kweli???ulinzi wa viongozi ni elimu hii sio maonyesho[emoji16][emoji16][emoji16].
Hehehe!!nimekupa mifano miwili umeanza kujeuza gear angani tayari[emoji23][emoji23]
We si uliuliza ubora km gani nikakujibu, sasa taarab za nn

Alafu hyo flexibility tueleze
 
kwa bunduki hakuna kitu kama flexibility, enda udanganye watanzania wenzako. Kuna accuracy, uzito, additions kama grenade launcher etc. Wewe na flexibility yako utakufa kabla ufungue mdomo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Flexibility!!nilishtuka kiasi ila nkaona haina haja nijitie kujua sana, ila nkaonelea acha nimpe nafasi anieleze kw kina hyo flexibility
 
eeh ata garissa wasee walikua wanadhani ni recce but after the CIA leaks it turns out ilikua ni team-18....wako 60 commandos in total but wanaeza kua wako zaidi ya iyo.
Mkuu, mi nashuku sana wale wazee waliotinga dusit sio recce..naona nkm tumezibwa macho tu walai

Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
 
Infact team 18 of the gsu, is trained to the same level as KDF special operations regiment, while recce is trained to the same skill level as the british sas.

Administration police border patrol unit are trained to be equivalent to the 75th ranger regiment of the American army.
Ni Hawa?
 
Iko bunduki ya kijinga, hiyo waliobeba hawa accuracy yake iko chini sana, tena iko na recoil mingi.
Afadhali mununue bunduki kama za polisi ya kenya hizi hapa chini.

i) cz scorpion evo rifle kwa kila polisi
View attachment 1621278

ii) M4A1 carbine ya special squads kama Team 18 ya gsu na recce
View attachment 1621283


iii) Glock pistol
View attachment 1621277


iv) FN scar L ya special squads za polisi kama administration police special warfare force. Hii sii FN scar H ambayo ni ya KDF pekee .
View attachment 1621279
FN SCAR L is for special operations...Zina shida hizo za kupata joto,kujam and mulfunctioning....wenye akili wezipiga Chini wamewauzia poyoyo Kenya ambao wamazipigia selfie na kujimwambafai
 
Back
Top Bottom