Kenya ilipigania uhuru wake. Tanzania ilipewa uhuru bure na Mbeberu

Kenya ilipigania uhuru wake. Tanzania ilipewa uhuru bure na Mbeberu

Na hapo ndo uone tofauti kati ya Tanganyika na Kenya!!!

A moment colonists set their feet in Tanganyika, Mababu zetu waka-react!!

Mwaka 1891, miaka 6 tu baada ya Mkoloni Mjerumani kuanzisha utawala wake, Wahehe wakiongozwa na Mkwawa wakapigana na Mjerumani!!! Kumbukumbu zinaonesha, battalion ya kwanza ya Mkoloni Mjerumani ilifyekwa na wakalazimika kutimua mbio!!

Mwaka 1994 Wajerumani wakapeleka battalion nyingine... Wahehe wakapigana na mkoloni kwa miaka 4 hadi 1898.

Miaka 7 baadae, yaani mwaka 1905, Mkoloni wa KIjerumani akakumbana na mtiti mwingine sehemu ya Pwani ya Tanganyika kuelekea kusini!! Ingawaje Wazee wetu hawakuwa na zana zozote za maana za kivita, lakini mtiti uliendelea kwa miaka 2 hadi 1907!!

Unlike Kenya through Mau mau ambapo baada ya kukamatwa kwa kiongozi wake tu Wakenya wakaanza kufyata mkia, lakini kukamatwa mapema kwa Kinjektile Ngwale kiongozi wa Vita vya Maji Maji hakukufanya vita hivyo kuishia hapo kwa sababu ndo kwanza vita vikazidi kuenea kutokea Kilwa ilikoanzia hadi Morogoro na Ruvuma!!!

Kwahiyo ni kukosa maarifa kudhani Mau Mau Uprising ni tofauti na Maji Maji wakati vita vyote vilikuwa ni dhidi ya mkoloni!

Ni ukosefu wa Maarifa kui-rate Mau Mau kwa sababu tu ilichelewa kuanza wakati kimsingi uchelewaji huo inaonesha ni namna gani mlivyokuwa waoga kupambana na mkoloni!!

Yaani tangia 1885 mlikuwa kwenye usingizi wa pono hadi 1952 wakati Tanganyika kwa wakati huo tulikuwa tayari tumeshaonesha hatutaki ujinga miaka kadhaa iliyopita, kabla hata Wapiganaji wa Mau Mau hawajazaliwa!!!!

Na lau kama Mwingereza angeendeleza ubabe wa Kikoloni, bado Mababu ya Kitanganyika yangesimama against that colonist that was being entertianed in Kenya kwa zaidi ya miaka 60!!!!

That's TANGANYIKA, the father of TANZANIA... the same son who never bowed down even to the Boers you used to bed with!!!
Mlipewa uhuru na Waingereza bure bila kumwaga damu. Ukweli huo haubadiliki hata ukijipiga kifua kuhusu matukio ya 1894.
 
Na hapo ndo uone tofauti kati ya Tanganyika na Kenya!!!

A moment colonists set their feet in Tanganyika, Mababu zetu waka-react!!

Mwaka 1891, miaka 6 tu baada ya Mkoloni Mjerumani kuanzisha utawala wake, Wahehe wakiongozwa na Mkwawa wakapigana na Mjerumani!!! Kumbukumbu zinaonesha, battalion ya kwanza ya Mkoloni Mjerumani ilifyekwa na wakalazimika kutimua mbio!!

Mwaka 1994 Wajerumani wakapeleka battalion nyingine... Wahehe wakapigana na mkoloni kwa miaka 4 hadi 1898.

Miaka 7 baadae, yaani mwaka 1905, Mkoloni wa KIjerumani akakumbana na mtiti mwingine sehemu ya Pwani ya Tanganyika kuelekea kusini!! Ingawaje Wazee wetu hawakuwa na zana zozote za maana za kivita, lakini mtiti uliendelea kwa miaka 2 hadi 1907!!

Unlike Kenya through Mau mau ambapo baada ya kukamatwa kwa kiongozi wake tu Wakenya wakaanza kufyata mkia, lakini kukamatwa mapema kwa Kinjektile Ngwale kiongozi wa Vita vya Maji Maji hakukufanya vita hivyo kuishia hapo kwa sababu ndo kwanza vita vikazidi kuenea kutokea Kilwa ilikoanzia hadi Morogoro na Ruvuma!!!

Kwahiyo ni kukosa maarifa kudhani Mau Mau Uprising ni tofauti na Maji Maji wakati vita vyote vilikuwa ni dhidi ya mkoloni!

Ni ukosefu wa Maarifa kui-rate Mau Mau kwa sababu tu ilichelewa kuanza wakati kimsingi uchelewaji huo inaonesha ni namna gani mlivyokuwa waoga kupambana na mkoloni!!

Yaani tangia 1885 mlikuwa kwenye usingizi wa pono hadi 1952 wakati Tanganyika kwa wakati huo tulikuwa tayari tumeshaonesha hatutaki ujinga miaka kadhaa iliyopita, kabla hata Wapiganaji wa Mau Mau hawajazaliwa!!!!

Na lau kama Mwingereza angeendeleza ubabe wa Kikoloni, bado Mababu ya Kitanganyika yangesimama against that colonist that was being entertianed in Kenya kwa zaidi ya miaka 60!!!!

That's TANGANYIKA, the father of TANZANIA... the same son who never bowed down even to the Boers you used to bed with!!!
Kwa hiyo katika vita vya majimaji Tanganyika ilipata uhuru? Hoja ya jirani yetu haiulizi mwanzo wa kukataa kutawaliwa,tulipataje uhuru?
A. Kupigana
B. Kupewa. Chagua jibu moja hapo
 
Kenya was a settler economy. Mabeberu pamoja na familia zao walikuwa wanaishi Kenya kwa wingi lakini hawakuwa wanaishi Tanzania kwa wingi. Kwa hivyo beberu alikataa kuondoka Kenya bila vita maana alikuwa na shamba kubwa yenye rutuba hapa Kenya. Sasa alisema haondoki bila vita. Lakini beberu hakuwa na shamba wala kitu chochote cha maana hapo Tanzania so aliwapa uhuru maana Tanzania ilikuwa useless kwake.
Imagine Mabeberu wange invest TZ kama walivyo invest KE, TZ ingekuwa wapi saiv maana hapo tu mshaachwa mbali kinoma na TZ
 
Tanzania haikusaidia Kenya kupata uhuru.
As early as the late 1950s Nyerere was publishing pamphlets castigating Whites in Kenya, South Africa and Rhodesia for rejecting the idea of African majority rule.[3] Nyerere and TANU continued this opposition to minority rule after Tanganyika’s independence, making it a defining feature of the government’s responsibilities. Speaking at the TANU National Conference in 1967, Nyerere declared that ‘total African liberation and total African unity are basic objectives of our Party and our Government…we shall never be really free and secure while some parts of our continent are still enslaved.’[4]
 
kinachonipa shida ni kua uwezo mdogo wa kufikiri au ndo kutoijua historia...hivi unadhani kila diplomasia lazima ifikie kwenye vita..pumbavu sana we jamaa
 
Bado una mawazo mgando kijana.... Fight is fight iwe kwa mdomo au silaha alafu kaa ukijua mdomo ni silaha kubwa sana so walaumu viongozi wako kwa kutoutumia vizuri... Over
 
Kwa hiyo katika vita vya majimaji Tanganyika ilipata uhuru? Hoja ya jirani yetu haiulizi mwanzo wa kukataa kutawaliwa,tulipataje uhuru?
A. Kupigana
B. Kupewa. Chagua jibu moja hapo
Kwani hiyo Vita ya Mau Mau ilitoa uhuru kwa Kenya?!

Au unatakiwa kukumbushwa kwamba Mau Mau Uprising iliisha somewhere in 1956-1957 wakati Kenya Ilipata uhuru wake 1963?!
 
Watanzania huwa wana kiburi ya hali ya juu sana maana wanaamini kuwa wao ndio waliikomboa Afrika kutoka kwa Mabeberu. Ukiona waziri wao akifoka jinsi waliikomboa Afrika hadi mate inamtoka mdomoni na mishipa kuvimba kichwani ndio utajua kwamba hii propaganda ya CCM ni nzito sana.

Ukweli wa mambo ni kuwa nchi chache sana hapa Afrika zilipigania uhuru wao. Nchi zilizopigania uhuru kwa kumwaga damu hazijapita 12 hapa Afrika. Nitataja baadhi yao: Kenya, Guinea Bissau, Mozambique, Zimbabwe, South Africa, Angola, Algeria na zingine chache. Nchi nyingi za Afrika zilipewa uhuru wao bure bila vita. Tanzania ni mojawapo ya nchi zilizopewa uhuru bure kabisa na beberu bila Watanzania kuingia msituni kumenyana na Mzungu. Hamkumwaga damu ili kupigania uhuru wenu.

Kama nyie ni wakombozi wa Afrika mbona hamkuikomboa Kenya kutoka kwa mabeberu? Mabeberu waliua Wakenya karibia laki moja wakati wa state of emergency 1952 wakati wanapigana na Maumau. Wamama na watoto wakapelekwa kwenye concentration camp ambapo wengi walikufa kwa njaa. Wanaume walipelekwa gerezani na kuteswa na kuuawa.

Hata nchi ya Uingereza imeomba msamaha kwa ushetani waliotufanyia na kutoa pesa kama fidia. Mbona nyie hamkutusaidia? Mbona sisi tulijipigania uhuru wenyewe na kufa kwa wingi ili tupate uhuru wetu? Hakuna nchi yoyote ya Afrika iliyotusaidia kupata Uhuru. So nyamazeni. Hata hamkupigania uhuru wenu mlipewa bure. We don't owe you anything. Hatuna deni lenu maana nyie hamkutusaidia.
Kasome historia vzr,Tanganyika ilianza kupigania uhuru wake zamani sana,kulikuwa na vita ya majimaji,tulimchapa mjerumani,akashika adabu,je unawajua mtemi Isike,Milambo,wote Hawa walipigana kudai uhuru kwa nyakati tofauti.
Je unmjua Lucy Lameck,mwanamama,ambaye juzi,Ujerumani imempa heshima,kwa kubadili jina la mtaa mmoja,na kuuita kwa jina lake?
Shwaini mkubwa?!
 
Kenya was a settler economy. Mabeberu pamoja na familia zao walikuwa wanaishi Kenya kwa wingi lakini hawakuwa wanaishi Tanzania kwa wingi. Kwa hivyo beberu alikataa kuondoka Kenya bila vita maana alikuwa na shamba kubwa yenye rutuba hapa Kenya. Sasa alisema haondoki bila vita. Lakini beberu hakuwa na shamba wala kitu chochote cha maana hapo Tanzania so aliwapa uhuru maana Tanzania ilikuwa useless kwake.
128065588_10159709740200579_5336439045970287752_n.jpg


HAPA NDIO UJUE NYIE MLIKUWA WATUMWA NA MNAENDELEA KUWA WATUMWA TU KWA MABEBERU

NJOO TZ KAMA UTAPATA HII UJINGA???
 
Mlipewa uhuru na Waingereza bure bila kumwaga damu. Ukweli huo haubadiliki hata ukijipiga kifua kuhusu matukio ya 1894.
Issue tulipata vipi uhuru au issue ni kwamba mliendelea kukumbatia wazungu hadi walipowapiga vidole kwa kuwatoa kwenye maeneo yenu ndi mkaamka kutoka kwenye usingizi wa pono wakati Tanganyika walianza kupigana na Wakoloni hata kabla Jomo Kenyatta na Dedan Kimathi hawajazaliwa!!!

Btw, ulitaka tuzipige na Mwingereza wakati hakuwa na hadhi ya ukoloni kwenye taifa letu?! Hivi huko shule huwa mnasomea ujinga, au?! Ikiwa tuliweza kupigana na Gaidi Mjerumani, tungeshindwa nini kupigana na Miwngereza endapo angeleta ule ushenzi aliowafanyia Wakenya wa kuwanyang'anya ardhi?!

Machungu ya kunyang'anywa ardhi na mkoloni hadi leo yapo Kenya kwa sababu most of ordinary Kenyans hawamiliki ardhi ya kutosha, not kwa sababu hawana hiyo passion bali ardhi yenu bado ipo kwa mabwenyenywe!!!

All in all, technically hata Kenya ilipewa uhuru bila kumwaga damu kwa sababu kuchapwa kwenu kwenye Vita vya Mau Mau hakukufanya mpate uhuru kama ambavyo kuchapwa kwa Tanganyika kupitia Maji Maji War hakukufanya Tanganyika kupata uhuru!

Kimsingi Kenya ilipata uhuru pale Mwingereza alipoamua kufungasha virago na kuondoka Afrika mashariki, na ndio maana, the whole of East African Protectorate ilipata uhuru kwa kufuatana!! And that also explains why hadi kufikia 1956 Mau Mau Fighters walishaufyata lakini uhuru hamkupata hadi mwishoni mwa 1963!!!
 
Mlipewa uhuru na Waingereza bure bila kumwaga damu. Ukweli huo haubadiliki hata ukijipiga kifua kuhusu matukio ya 1894.
tanzania ilkua chini ya un yani United nations trust territory kuanzia mwaka47 mwengereza altupa uhuru like how?

ivi tulpata uhuru toka un au Britain?
Chige
 
Kenya was a settler economy. Mabeberu pamoja na familia zao walikuwa wanaishi Kenya kwa wingi lakini hawakuwa wanaishi Tanzania kwa wingi. Kwa hivyo beberu alikataa kuondoka Kenya bila vita maana alikuwa na shamba kubwa yenye rutuba hapa Kenya. Sasa alisema haondoki bila vita. Lakini beberu hakuwa na shamba wala kitu chochote cha maana hapo Tanzania so aliwapa uhuru maana Tanzania ilikuwa useless kwake.
Ati "Kenya was" a settler economy,kwani family ya Lord Delamere hawana mashamba mpaka Sasa hivi huko Kenya?hivi nyinyi mlipapta Uhuru,au mlipandisha benders yenye rangi nne eti mmepata Uhuru?mpaka Sasa hivi mnapokea amri kutoka kwa wazungu kuhusu maswala ya nchi yenu,huo ni Uhuru?Nchi za kigeni Zina kambi za kijeshi kwenye ardhi yenu,mna uhuru gani?
 
Watanzania huwa wana kiburi ya hali ya juu sana maana wanaamini kuwa wao ndio waliikomboa Afrika kutoka kwa Mabeberu. Ukiona waziri wao akifoka jinsi waliikomboa Afrika hadi mate inamtoka mdomoni na mishipa kuvimba kichwani ndio utajua kwamba hii propaganda ya CCM ni nzito sana.

Ukweli wa mambo ni kuwa nchi chache sana hapa Afrika zilipigania uhuru wao. Nchi zilizopigania uhuru kwa kumwaga damu hazijapita 12 hapa Afrika. Nitataja baadhi yao: Kenya, Guinea Bissau, Mozambique, Zimbabwe, South Africa, Angola, Algeria na zingine chache. Nchi nyingi za Afrika zilipewa uhuru wao bure bila vita. Tanzania ni mojawapo ya nchi zilizopewa uhuru bure kabisa na beberu bila Watanzania kuingia msituni kumenyana na Mzungu. Hamkumwaga damu ili kupigania uhuru wenu.

Kama nyie ni wakombozi wa Afrika mbona hamkuikomboa Kenya kutoka kwa mabeberu? Mabeberu waliua Wakenya karibia laki moja wakati wa state of emergency 1952 wakati wanapigana na Maumau. Wamama na watoto wakapelekwa kwenye concentration camp ambapo wengi walikufa kwa njaa. Wanaume walipelekwa gerezani na kuteswa na kuuawa.

Hata nchi ya Uingereza imeomba msamaha kwa ushetani waliotufanyia na kutoa pesa kama fidia. Mbona nyie hamkutusaidia? Mbona sisi tulijipigania uhuru wenyewe na kufa kwa wingi ili tupate uhuru wetu? Hakuna nchi yoyote ya Afrika iliyotusaidia kupata Uhuru. So nyamazeni. Hata hamkupigania uhuru wenu mlipewa bure. We don't owe you anything. Hatuna deni lenu maana nyie hamkutusaidia.
Diplomasia ya Tanzania is way greater than ile ya Kenya; sisi tulihitaji KUZUNGUMZA TU tukajinyakulia uhuru wetu. Jamaa wao ilibidi mpaka waunde MAUMAU Resistance. It is safe to say, Tanzania siyo tu KISIWA CHA AMANI, bali pia KITOVU CHA DEMOKRASIA & DIPLOMASIA.

"It is high time for African continent to think for herself the true meaning of democracy in her own context and culture, taking into consideration her historical background. Limitation of multipartism, periodic elections, and term limits for leaders in responsible positions is not only impractical but also feasibly ineffective!" -- Prof. Patrice Lumumba.
 
Wasamehe hawa majirani, hawana ufahamu wowote kuhusu vita vya Mau Mau na ukombozi wa Taifa la Kenya kutoka kwa minyororo ya mkoloni. Isipokuwa vita vya makaburu SA dhidi ya muingereza(Boer Wars) na vita vya kuikomboa India hakuna vita vyovyote vingine duniani ambavyo vilimpa mkoloni wakati mgumu kama vya Mau Mau. Mkoloni alidondosha hadi mabomu kwa kutumia ndege za kivita kwenye maficho ya wapiganaji wa Mau Mau maeneo ya Ml. Kenya na Abardares. Wenyeji wa Ml. Kenya karibia milioni moja walihamishwa makwao na kufungiwa kwenye 'concentration camps' kama za Hitler/NAZI. Kisa eti mkoloni alisema kwamba wote walikuwa wamekula kiapo cha Mau Mau. Babu yangu alikuwa mpiganaji mashuhuri wa Mau Mau. Ukiona rangi nyekundu kwenye bendera ya Kenya jua kwamba damu ilimwagika kweli sio mzaha. Alafu kwa historia kama hiyo eti ndio leo tujifananishe na watu ambao waliketi kwenye meza moja wakinywa chai na mabeberu na kujadiliana kuhusu uhuru wao. Ní urímú!
 
Wasamehe hawa majirani, hawana ufahamu wowote kuhusu vita vya Mau Mau na ukombozi wa Taifa la Kenya kutoka kwa minyororo ya mkoloni. Isipokuwa vita vya makaburu SA dhidi ya muingereza(Boer Wars) na vita vya kuikomboa India hakuna vita vyovyote vingine duniani ambavyo vilimpa mkoloni wakati mgumu kama vya Mau Mau. Mkoloni alidondosha hadi mabomu kwa kutumia ndege za kivita kwenye maficho ya wapiganaji wa Mau Mau maeneo ya Ml. Kenya na Abardares. Wenyeji wa Mk. Kenya karibia milioni moja walihamishwa makao na kufungiwa kwenye 'concentration camps' kama za Hitler/NAZI. Kisa eti mkoloni alisema kwamba wote walikuwa wamekula kiapo cha Mau Mau. Babu yangu alikuwa mpiganaji mashuhuri wa Mau Mau. Ukiona rangi nyekundu kwenye bendera ya Kenya jua kwamba damu ilimwagika kweli sio mzaha. Alafu kwa historia kama hiyo eti ndio leo tujifananishe na watu ambao waliketi kwenye meza moja wakinywa chai na mabeberu na kujadiliana kuhusu uhuru wao. Ni urimu!
maumau iliwapa uhuru?
je mlishinda vita vya maumau?
 
Majimaji walipigana zamani sana tena walikuwa wanapigana dhidi ya Wajerumani. Mimi nasema Waingereza waliwapa uhuru wenu bure bila kumwaga damu. Unapinga hilo?
Ujerumani ndio alikuwa mkoloni sasa, English wao walishikizwa na UN baada Ya Germany kushindwa ile 2nd WW
 
maumau iliwapa uhuru?
je mlishinda vita vya maumau?
Ndio, vita vya Mau Mau ndio viliipa Kenya Uhuru. Mkoloni alilazimika kuwakubalia waafrika weusi wajipange kisiasa kupitia vyama vyao kwasababu ya vita vya Mau. Chama cha KADU kiliamrishwa kitengeneze serikali kabla ya Uhuru. Kama njia ya mkoloni kujaribu kuingiza migawanyiko na usaliti kwa chama cha KANU ila wakaibuka na kauli kwamba lazima Kenyatta na wenzake(Kapenguria Six) waachiwe huru kwanza. Vita vya Mau Mau vilikuwa 'Guerilla War', yaani kama vya waasi ambao huwa wanampiga adui yao kisha wanarudi mafichoni. Harasa ilikuwa ni kwa mkoloni, kihali, kimali, kiraslimali kupitia usumbufu ambao ulifanya koloni lake liendeshwe kijeshi, bila mpangilio, bila amani, bila faida.
 
Hata Kenya ilipewa pia acheni kujidanganya, Muzungu aliondoka Kenya na Afrika kwa hiari, ...
 
kinachonipa shida ni kua uwezo mdogo wa kufikiri au ndo kutoijua historia...hivi unadhani kila diplomasia lazima ifikie kwenye vita..pumbavu sana we jamaa
Ninarudia tena. Tanzania haikusaidia Kenya kupata Uhuru. Tuliunyakua uhuru wenyewe kutoka kwa mikono ya beberu kwa kupigana hadi kufa. Tulimwaga damu ili tupate uhuru wetu. Nyie hamkutusaidia kwa lolote.
 
Back
Top Bottom