Na hapo ndo uone tofauti kati ya Tanganyika na Kenya!!!
A moment colonists set their feet in Tanganyika, Mababu zetu waka-react!!
Mwaka 1891, miaka 6 tu baada ya Mkoloni Mjerumani kuanzisha utawala wake, Wahehe wakiongozwa na Mkwawa wakapigana na Mjerumani!!! Kumbukumbu zinaonesha, battalion ya kwanza ya Mkoloni Mjerumani ilifyekwa na wakalazimika kutimua mbio!!
Mwaka 1994 Wajerumani wakapeleka battalion nyingine... Wahehe wakapigana na mkoloni kwa miaka 4 hadi 1898.
Miaka 7 baadae, yaani mwaka 1905, Mkoloni wa KIjerumani akakumbana na mtiti mwingine sehemu ya Pwani ya Tanganyika kuelekea kusini!! Ingawaje Wazee wetu hawakuwa na zana zozote za maana za kivita, lakini mtiti uliendelea kwa miaka 2 hadi 1907!!
Unlike Kenya through Mau mau ambapo baada ya kukamatwa kwa kiongozi wake tu Wakenya wakaanza kufyata mkia, lakini kukamatwa mapema kwa Kinjektile Ngwale kiongozi wa Vita vya Maji Maji hakukufanya vita hivyo kuishia hapo kwa sababu ndo kwanza vita vikazidi kuenea kutokea Kilwa ilikoanzia hadi Morogoro na Ruvuma!!!
Kwahiyo ni kukosa maarifa kudhani Mau Mau Uprising ni tofauti na Maji Maji wakati vita vyote vilikuwa ni dhidi ya mkoloni!
Ni ukosefu wa Maarifa kui-rate Mau Mau kwa sababu tu ilichelewa kuanza wakati kimsingi uchelewaji huo inaonesha ni namna gani mlivyokuwa waoga kupambana na mkoloni!!
Yaani tangia 1885 mlikuwa kwenye usingizi wa pono hadi 1952 wakati Tanganyika kwa wakati huo tulikuwa tayari tumeshaonesha hatutaki ujinga miaka kadhaa iliyopita, kabla hata Wapiganaji wa Mau Mau hawajazaliwa!!!!
Na lau kama Mwingereza angeendeleza ubabe wa Kikoloni, bado Mababu ya Kitanganyika yangesimama against that colonist that was being entertianed in Kenya kwa zaidi ya miaka 60!!!!
That's TANGANYIKA, the father of TANZANIA... the same son who never bowed down even to the Boers you used to bed with!!!