Nyie Wakenya ukiacha tambo zenu za kujifanya mnajua kila kitu huko shuleni sijui huwa mnasoma nini!! Ulitarajia Tananyika iwasaidie Manyang'au ya Kenya wakati wakati Tanganyika yenyewe ilikuwa bado chini ya Mkoloni?!
Yaani unatakiwa kurudishwa shule kujifunza kwamba, nchi nyingi Barani Afrika zilipata uhuru miaka ya 60, na nchi hizo ni pamoja na Tanzania, Kenya na Uganda!
Hata hivyo, hadi kufika miaka ya 70 bado kulikuwa na nchi zingine especially Kusini mwa Afrika ambazo bado zilikuwa chini ya Wakoloni!!!
Walioenda shule wanapozungumzia role ya Tanzania kupigania uhuru wa nchi zingine wanazungumzia kuwa mstari wa mbele kupigania uhuru wa Waafrika wenzetu ambao bado walikuwa chini ya makucha ya Wakoloni!!
Wakati Tanzania wakifanya harakati hizo za kuhakikisha kila nchi Afrika inakuwa huru, Manyang'au ya Kenya yalikuwa yanashirikiana na Walowezi wa Kizungu kupora na kuhodhi ardhi ya Wakenya!!!
Achana na huyo Waziri, UNESCO wanaandika hapa chini kwamba:-
Aidha UNESCO wanaendelea kutujuza kwamba:-
Kisha wanamwelezea Jemadari wa Mapambano:-
Hayo hapo juu yanapatikana kwenye andiko la UNESCO titled:- 'Roads to lndependence in Africa: The African liberation Heritage'. Humo vikaragosi vya Kizungu, a.k.a Kenya hawajatajw
Sio hivyo tu, hata gazeti lenu wenyewe,
The Standard linaandika:-
Na kumbukumbu zinaonesha kwamba, Nelson Mandela na Zuma walipita Jomo Kenyatta INternational Airport lakini waligoma hata kuteremka pamoja na SA Officials kuweka Red Carpet wakitarajia Mandela angeteremka wakati akiwa safarini kuelekea Libya!
Wapigania uhuru Afrika yote wanaiona Kenya ni Vibaraka tu wa Wakoloni kwa sababu you were bedding with the Boers and other Western Monsters!!