Kenya ilipigania uhuru wake. Tanzania ilipewa uhuru bure na Mbeberu

Kenya ilipigania uhuru wake. Tanzania ilipewa uhuru bure na Mbeberu

Sijalazimisha popote ila nimeuliza maswali ambayo ungeyajibu kama ukipenda/weza, usiamini kila kitu unachoambiwa kirahisi hivyo tumia logic yako kufikiri, Dunia iko complicated zaidi, una amini kabisa wale wacheza reggae rastamen Mau Mau wenye mishale na mikuki walikuwa na uwezo wa kuishinda Royal British Army ? Siajabu pia unaamini kwamba Mandela aliondoa apartheid AK, au ?
Wewe ni mjinga sana kama unaamini kushinda vita ina maanisha kuuwa mzungu kabisa na kumuangamiza. Una akili finyu hadi nasita kudebate na wewe. Kwa hivyo tunaposema Algeria alipigania uhuru kutoka kwa Wafaransa na kunyakua uhuru unadhani Algeria alimuangamiza kabisa Mfaransa? Hizi ni resistance movements na lengo lao haikuwa kumuangamiza kabisa Mzungu bali kufanya utawala wake uwe mgumu. FLN waliuwa natives waliokuwa wanacollaborate na Wazungu. Algeria walikuwa wanalipua hadi mighahawa ya wazungu. Vile vile Mau Mau walikuwa wanauwa waafrika wanaoshirikiana na wazungu. Hii haikuwa conventional warfare bali iliiuwa guerilla warfare. Sasa kati ya Vietnam na Marekani ni nani alishinda hio vita? Kumbuka Marekani aliuwa watu wa Vietnam wengi sana lakini kwa vita hatuhesabu sana idadi ya watu waliouawa. Tunahesabu nani alifikia malengo yake na nani alishindwa kufikia malengo yake. Kumbuka Marekani alishindwa kufikia malengo yake ya kufaya South Vietnam iendelee kuwa an independent capitalist country. North Vietnam ndio ilishinda vita kwa sababu ilifikia malengo yake ya kuunganisha North Vietnam na South Vietnam kuwa nchi moja japo walipoteza watu wengi sana kwenye hio vita. Wewe unadhani kushinda vita ni lazima uangamize adui yako. Una ushamba nyingi
 
Hata tubishe kiasi gani huo utabaki kuwa ndo kwelj....na hata tofauti yetu ya kimaendeleo huwa inaaanzia hapo....yn happy ndo kwenye mizizi ya tofauti ya kimaendeleo Kati ya nchi hizi mbili.....


Mkichukue comment yangu Basi mnipige tu.
 
Binafsi sidhani kama kenya ni nchi huru,maana mpaka hii leo kwa afrika hamna nchi inayowasujudia watu weupe kama kenya,mkenya yuko tayari ampe hata mkewe mtu mweupe ili apate kujisifu mkewe alishamegwa na mzungu
 
Kwa nini unafikiri Muzungu aliweka mkataba na China na siyo Kenya ? Au Kenya pia kulikuwa na Mkataba ?
Wewe ulitaka kumaanisha kuwa Muingereza anafanya akitakacho. Anapatia watu uhuru wakati yeye mwenyewe anapenda. Mimi nikakuweka sawa nikakueleza kuwa mzungu hakupatia Hong Kong Uhuru kwa hiari yake bali alilazimishwa na mkataba aliyokuwa ametia saini hapo awali. Mzungu hawezi kupatia mtu yeyote uhuru bila kushurutishwa aidha kisheria kupitia mkataba kwa mfano Hong Kong au kivita. Na akipatia nchi uhuru bila vita basi hio nchi itakuwa haina umuhimu kwake kama Zambia au Uganda.
 
Wewe ni mjinga sana kama unaamini kushinda vita ina maanisha kuuwa mzungu kabisa na kumuangamiza. Una akili finyu hadi nasita kudebate na wewe. Kwa hivyo tunaposema Algeria alipigania uhuru kutoka kwa Wafaransa na kunyakua uhuru unadhani Algeria alimuangamiza kabisa Mfaransa? Hizi ni resistance movements na lengo lao haikuwa kumuangamiza kabisa Mzungu bali kufanya utawala wake uwe mgumu. FLN waliuwa natives waliokuwa wanacollaborate na Wazungu. Algeria walikuwa wanalipua hadi mighahawa ya wazungu. Vile vile Mau Mau walikuwa wanauwa waafrika wanaoshirikiana na wazungu. Hii haikuwa conventional warfare bali iliiuwa guerilla warfare. Sasa kati ya Vietnam na Marekani ni nani alishinda hio vita? Kumbuka Marekani aliuwa watu wa Vietnam wengi sana lakini kwa vita hatuhesabu sana idadi ya watu waliouawa. Tunahesabu nani alifikia malengo yake na nani alishindwa kufikia malengo yake. Kumbuka Marekani alishindwa kufikia malengo yake ya kufaya South Vietnam iendelee kuwa an independent capitalist country. North Vietnam ndio ilishinda vita kwa sababu ilifikia malengo yake ya kuunganisha North Vietnam na South Vietnam kuwa nchi moja japo walipoteza watu wengi sana kwenye hio vita. Wewe unadhani kushinda vita ni lazima uangamize adui yako. Una ushamba nyingi

Sasa ungesema kwamba resistance ilipelekea Muzungu kuipa Kenya uhuru wake, kama ni hivyo resitance ilikuwepo kila mahali, ila kama nilivyosema nchi za Kiafrika hazikupewa uhuru kwa sababu walishinda Vita dhidi ya Wakoloni la hasha, bali muda wa Ukoloni ulikuwa umekwisha baada ya WW 2 Dunia mpya ilianza chini ya USA na UN 1945, kwa Makoloni ya Uingereza alianza India 1947, kwa Afrika alianza Ghana 1957 na kufwatia wengine miaka 60 'mwanzoni na sababu ilikuwa ni kwamba Dunia ilikuwa imebadilika, hata French colonies pia walipata Uhuru wao miaka ya sawa i.e 1960's na English colonies unafikiri hiyo ilitokea tu ?
 
Blah blah, Muzungu aliondoka Afrika kwa sababu muda ulikuwa umefika, na kulikuwa na sababu za kiuchumi kwanza ilikuwa ni expensive sana kwa Muzungu kuendesha haya Makoloni kwani tayari Muzungu (Europe ) alikuwa bankrupt, hizo infrastructure zote zilizo Nairobi, Mombasa na kwingineko ni Muzungu alijenga kwa kutumia pesa yake na ilikuwa ni expensive projects ambazo ilikuwa hailipi, sababu ya pili USA kama global power mpya baada ya WW 2 alishasema no more colonies pamoja na kuanzishwa kwa UN 1945, hiyo ndiyo sababu lkn siyo ujinga wa sijui Mau mau, mau mau ilikuwa ni uprising tu ambayo kama Muzungu angetaka kuendelea kubakia angeizima mara moja.

Labda ungejiuliza kwa nini nchi za Kiafrika (Kusini mwa Sahara ) karibia zote zimepata Uhuru wake wakati mmoja in the 1960 's ? Kwa nini siyo kabla ya hapo ? Na kwa nini zote kwa karibia wakati mmoja ? Unafkiri imetokea tu ? Kama Muzungu aliondoshwa na Maua Mau kwa nini itokee miaka ya 60 ambapo nchi zote zilipata Uhuru wake ?

BTW Muzungu ameondoka China (Hong Kong ) mwaka 1997, sasa unafikiri kwa nini amechelewa hivyo ?
Huu utopolo ulioandika sasa utasema kuwa Zimbabwe walipewa uhuru bure wakati Ian Smith alitangaza uhuru wa nchi ya Zimbabwe kutoka Uingereza lakini Uhuru huo ulikuwa wa wazungu pekee. Ilibidi waafrika akina Mugabe waingie kwenye misitu kunyakua uhuru wao kutoka kwenye mikono ya wazungu watukutu kama akina Ian Smith. Wazungu hawawezi kupeana uhuru ovyo ovyo tu. Kwanza settler colonies Kenya, Zimbabwe na South Afrika zilikuwa settler colonies za Waingereza. Mozambique na Angola zilikuwa settler colonies za Wareno na wareno hangepeana uhuru bila vita maana walikuwa wanaishi huko. Tanzania wazungu hawakuwa wanaishi huko ndio maana mlipewa uhuru bila vita
 
Sasa ungesema kwamba resistance ilipelekea Muzungu kuipa Kenya uhuru wake, kama ni hivyo resitance ilikuwepo kila mahali, ila kama nilivyosema nchi za Kiafrika hazikupewa uhuru kwa sababu walishinda Vita dhidi ya Wakoloni la hasha, bali muda wa Ukoloni ulikuwa umekwisha baada ya WW 2 Dunia mpya ilianza chini ya USA na UN 1945, kwa Makoloni ya Uingereza alianza India 1947, kwa Afrika alianza Ghana 1957 na kufwatia wengine miaka 60 'mwanzoni na sababu ilikuwa ni kwamba Dunia ilikuwa imebadilika, hata French colonies pia walipata Uhuru wao miaka ya sawa i.e 1960's na English colonies unafikiri hiyo ilitokea tu ?
Amini unachotaka.
 
Huu utopolo ulioandika sasa utasema kuwa Zimbabwe walipewa uhuru bure wakati Ian Smith alitangaza uhuru wa nchi ya Zimbabwe kutoka Uingereza lakini Uhuru huo ulikuwa wa wazungu pekee. Ilibidi waafrika akina Mugabe waingie kwenye misitu kunyakua uhuru wao kutoka kwenye mikono wa wazungu watukutu kama akina Ian Smith. Wazungu hawawezi kupeana uhuru ovyo ovyo tu. Kwanza settler colonies Kenya, Zimbabwe na South Afrika zilikuwa setrler colonies za Waingereza. Mozambique na Angola zilikuwa settler colonies za Wareno na wareno hangepeana uhuru bila vita maana walikuwa wanaishi huko. Tanzania wazungu hawakuwa wanaishi huko ndio maana mlipea uhuru bila vita

Unachanganya mambo, Zimbabwe hakuwa hivyo unafikiria wewe, ngoja nikupe shule kidogo kuhusu kilichotokea Zimbabwe, Muzungu wa Zimbabwe aligoma kuwa chini ya English monarchy na kutaka kujitenga ili Zimbabwe iwe kama AK, Muzungu london akagoma, Muzungu akasapoti gorrilla communist ambao ni akina Mugabe dhidi ya Muzungu Zimbabwe akina Ian Smith, kwa kifupi ilikuwa ni vita kati ya Waasi wa Kizungu akina Ian Smith vs English Monarchy, na Mugabe alitumiwa na Muzungu London kama proxy, na ndio maana Mugabe alikuwa na deni na British Government hata ile kuchukuwa na mashamba ya Muzungu hiyo ilikuwa ni moja ya sababu, English monarchy walimuahidi Mugabe baada ya vita kuna vitu angepata kutoka kwa akina Ian Smith, ...
 
Unachanganya mambo, Zimbabwe hakuwa hivyo unafikiria wewe, ngoja nikupe shule kidogo kuhusu kilichotokea Zimbabwe, Muzungu wa Zimbabwe aligoma kuwa chini ya English monarchy na kutaka kujitenga ili Zimbabwe iwe kama AK, Muzungu london akagoma, Muzungu akasapoti gorrilla communist ambao ni akina Mugabe dhidi ya Muzungu Zimbabwe akina Ian Smith, kwa kifupi ilikuwa ni vita kati ya Waasi wa Kizungu akina Ian Smith vs English Monarchy, na Mugabe alitumiwa na Muzungu London kama proxy, na ndio maana Mugabe alikuwa na deni na British Government hata ile kuchukuwa na mashamba ya Muzungu hiyo ilikuwa ni moja ya sababu, English monarchy walimuahidi Mugabe baada ya vita kuna vitu angepata kutoka kwa akina Ian Smith, ...
Una evidence ya huu utopolo ulioandika ama unadhani hapa ni vijiweni? Tangu lini Muingereza aanzishe vita dhidi ya muingereza mwenzake kwa kusapoti mwafrika(Mugabe)?
 
Una evidence ya huu utopolo ulioandika ama unadhani hapa ni vijiweni? Tangu lini Muingereza aanzishe vita dhidi ya muingereza mwenzake kwa kusapoti mwafrika(Mugabe)?

Ndivyo ilivyokuwa, Settlers wa Zimbabwe walitaka kujitenga na English Monarchy wawe na nchi yao ya Rhodesia, English monarhy akakataa, na ndipo vita ilipoanza English monarchy akasapoti communist Mugabe dhidi ya Rhodesian, unaweza kujisomea iko wazi kila mahali.

Mugabe alisaidiwa na English Monarchy dhidi ya Settlers, ilikuwa ni proxy war, soma kuhusu Lancaster agreement kama ukipenda utapata mwanga wa kilichotokea, ilikuwa ni Vita kati ya White Rhodesian vs English Monarchy ambao walimtumia Mugabe kupigana, ...
 
Mwaka wa 1958 mzungu aliweka timetable ya independence. Alianza kulegeza kamba baada ya vita vya mau mau. Akakubali wabunge waafrika kuchaguliwa. Akakubali political parties kuundwa. Akakubali mikusanyiko ya kisiasa. Halafu baadaye akakubali kuachilia wafungwa wa kisiasa kama Jomo Kenyatta. Halafu mwisho kabisa akakubali waafrika waende Uingereza kuunda katiba mpya katika Lancaster conference. Haya yote yalifanyika baada ya vita vya mau mau.
Kama unadhani hayo yalifanyika kwa ajili ya Mau Mau War, ulishawahi kujiuliza ni kwanini Uingereza iliachia makoloni kibao tu kwenye miaka ya ya 50 na 60?!

Ukweli ni kwamba, baada ya World War II, British Empire ikajikuta ina mzigo wa makoloni ambayo ilikuwa ni very expensive kuyaendesha. Na wakati hayo yanatokea, British Empire pia ilifahamu kulikuwa na vuguvugu la kutaka kujitawala kutoka kwenye makoloni karibu yote duniani!

Aidha, Wakoloni hawa tayari walifahamu ni wenyeji wa makoloni yao ndio hao hao walipigana Vita vya II na ya II ya dunia, na hivyo kuwa red flag kwa kufahamu tayari baadhi ya wenyeji kwenye makoloni yao walishakuwa na uzoefu wa kivita, na kwamba hilo lilikuwa ni bomu lililosubiri kuwaripukia muda wowote!!

Ni kutokana na combination ya yote hayo ndipo British Empire ikatengeneza Decolonization Policy and Roadmap! Wakaanza kujiondoa nchi za Asia kutoka nchi moja hadi nyingine, kisha roadmap ikaingia Africa!! Na ukiangalia, nchi nyingi za Afrika zilipata uhuru kwa kufuatana! Kenya nayo ikapata uhuru wake kama walivyopata Uganda, Zanzibar, Sudan n.k!

Vita vya Mau Mau was just a good timing lakini hata kama vita vile visingekuwepo bado Mwingereza angeondoka tu kama ambavyo aliondoka Zanzibar, Uganda, Sudan, na mataifa mengine kadhaa!!!
 
Definately
Nyie Wakenya ukiacha tambo zenu za kujifanya mnajua kila kitu huko shuleni sijui huwa mnasoma nini!! Ulitarajia Tananyika iwasaidie Manyang'au ya Kenya wakati wakati Tanganyika yenyewe ilikuwa bado chini ya Mkoloni?!

Yaani unatakiwa kurudishwa shule kujifunza kwamba, nchi nyingi Barani Afrika zilipata uhuru miaka ya 60, na nchi hizo ni pamoja na Tanzania, Kenya na Uganda!

Hata hivyo, hadi kufika miaka ya 70 bado kulikuwa na nchi zingine especially Kusini mwa Afrika ambazo bado zilikuwa chini ya Wakoloni!!!

Walioenda shule wanapozungumzia role ya Tanzania kupigania uhuru wa nchi zingine wanazungumzia kuwa mstari wa mbele kupigania uhuru wa Waafrika wenzetu ambao bado walikuwa chini ya makucha ya Wakoloni!!

Wakati Tanzania wakifanya harakati hizo za kuhakikisha kila nchi Afrika inakuwa huru, Manyang'au ya Kenya yalikuwa yanashirikiana na Walowezi wa Kizungu kupora na kuhodhi ardhi ya Wakenya!!!

Achana na huyo Waziri, UNESCO wanaandika hapa chini kwamba:-

Aidha UNESCO wanaendelea kutujuza kwamba:-

Kisha wanamwelezea Jemadari wa Mapambano:-

Hayo hapo juu yanapatikana kwenye andiko la UNESCO titled:- 'Roads to lndependence in Africa: The African liberation Heritage'. Humo vikaragosi vya Kizungu, a.k.a Kenya hawajatajw

Sio hivyo tu, hata gazeti lenu wenyewe, The Standard linaandika:-

Na kumbukumbu zinaonesha kwamba, Nelson Mandela na Zuma walipita Jomo Kenyatta INternational Airport lakini waligoma hata kuteremka pamoja na SA Officials kuweka Red Carpet wakitarajia Mandela angeteremka wakati akiwa safarini kuelekea Libya!

Wapigania uhuru Afrika yote wanaiona Kenya ni Vibaraka tu wa Wakoloni kwa sababu you were bedding with the Boers and other Western Monsters!!
 
Waambie manyang'au hayo mpaka leo hayajui siasa. Bado yanaongozwa kwa remot from abroad. Sisi wazee wetu akina Nyerere walijua kujenga hoja from the begining na ndio uhuru wa bila kumwaga damu. Tanzsnia ni baba wa diplomasia in East Africa, weather you like or not.
Issue tulipata vipi uhuru au issue ni kwamba mliendelea kukumbatia wazungu hadi walipowapiga vidole kwa kuwatoa kwenye maeneo yenu ndi mkaamka kutoka kwenye usingizi wa pono wakati Tanganyika walianza kupigana na Wakoloni hata kabla Jomo Kenyatta na Dedan Kimathi hawajazaliwa!!!

Btw, ulitaka tuzipige na Mwingereza wakati hakuwa na hadhi ya ukoloni kwenye taifa letu?! Hivi huko shule huwa mnasomea ujinga, au?! Ikiwa tuliweza kupigana na Gaidi Mjerumani, tungeshindwa nini kupigana na Miwngereza endapo angeleta ule ushenzi aliowafanyia Wakenya wa kuwanyang'anya ardhi?!

Machungu ya kunyang'anywa ardhi na mkoloni hadi leo yapo Kenya kwa sababu most of ordinary Kenyans hawamiliki ardhi ya kutosha, not kwa sababu hawana hiyo passion bali ardhi yenu bado ipo kwa mabwenyenywe!!!

All in all, technically hata Kenya ilipewa uhuru bila kumwaga damu kwa sababu kuchapwa kwenu kwenye Vita vya Mau Mau hakukufanya mpate uhuru kama ambavyo kuchapwa kwa Tanganyika kupitia Maji Maji War hakukufanya Tanganyika kupata uhuru!

Kimsingi Kenya ilipata uhuru pale Mwingereza alipoamua kufungasha virago na kuondoka Afrika mashariki, na ndio maana, the whole of East African Protectorate ilipata uhuru kwa kufuatana!! And that also explains why hadi kufikia 1956 Mau Mau Fighters walishaufyata lakini uhuru hamkupata hadi mwishoni mwa 1963!!!
 
Kama unadhani hayo yalifanyika kwa ajili ya Mau Mau War, ulishawahi kujiuliza ni kwanini Uingereza iliachia makoloni kibao tu kwenye miaka ya ya 50 na 60?!

Ukweli ni kwamba, baada ya World War II, British Empire ikajikuta ina mzigo wa makoloni ambayo ilikuwa ni very expensive kuyaendesha. Na wakati hayo yanatokea, British Empire pia ilifahamu kulikuwa na vuguvugu la kutaka kujitawala kutoka kwenye makoloni karibu yote duniani!

Aidha, Wakoloni hawa tayari walifahamu ni wenyeji wa makoloni yao ndio hao hao walipigana Vita vya II na ya II ya dunia, na hivyo kuwa red flag kwa kufahamu tayari baadhi ya wenyeji kwenye makoloni yao walishakuwa na uzoefu wa kivita, na kwamba hilo lilikuwa ni bomu lililosubiri kuwaripukia muda wowote!!

Ni kutokana na combination ya yote hayo ndipo British Empire ikatengeneza Decolonization Policy and Roadmap! Wakaanza kujiondoa nchi za Asia kutoka nchi moja hadi nyingine, kisha roadmap ikaingia Africa!! Na ukiangalia, nchi nyingi za Afrika zilipata uhuru kwa kufuatana! Kenya nayo ikapata uhuru wake kama walivyopata Uganda, Zanzibar, Sudan n.k!

Vita vya Mau Mau was just a good timing lakini hata kama vita vile visingekuwepo bado Mwingereza angeondoka tu kama ambavyo aliondoka Zanzibar, Uganda, Sudan, na mataifa mengine kadhaa!!!

A smart way for British Empire ikawa ni kuunda roadmap ya kujiondoa kwenye makoloni yake hatua kwa hatua!! Ni katika harakati hizo, takribani miaka 30 kabla ya Vita vya Mau Mau, yaani mwaka 1943, Waziri wa Mambo ya Nje wa Makoloni wa British Empire, Oliver Stanlye akatoa azimio kwamba serikali yake itayaongoza makoloni kuelekea kujitawala wenyewe kwa kufuata framework iliyoandaliwa na Wkoloni!!


Mkuu unaturudisha darasani 😁😁😁

Kiukweli huwa najiuliza Kenya kulikuwa na tawala zenye nguvu ama jamii zilizoendela kabla ya mkoloni ngapi zenye level za Hehe ama Nyamwezi ???...

Maana Uganda tunajua kulikuwa kuna Buganda na Bunyoro ila Kenya sijawahi kusikia labda unijuze mkuu

Kingine sababu mojawapo ya kuanzisha settler economy ni kupata less resistance kutoka kwa wazawa which means walikuwa weak sana kutoa upinzani wa namna yoyote hivyo, Ukitoa maumau kulikuwa kuna vita nyingine yoyote ile Kenya maana kwetu ukiitoa majimaji bado zilikuwepo nyinginezo
 
Wonderful, tangu lini Kenya ikawa huru ?
Ati "Kenya was" a settler economy,kwani family ya Lord Delamere hawana mashamba mpaka Sasa hivi huko Kenya?hivi nyinyi mlipapta Uhuru,au mlipandisha benders yenye rangi nne eti mmepata Uhuru?mpaka Sasa hivi mnapokea amri kutoka kwa wazungu kuhusu maswala ya nchi yenu,huo ni Uhuru?Nchi za kigeni Zina kambi za kijeshi kwenye ardhi yenu,mna uhuru gani?
 
Hujui lolote kuhusu historia ya Kenya na vita dhidi ya mkoloni. 'Earliest resistance' dhidi ya mkoloni Afrika mashariki ilikuwa kutoka kwa shujaa Chifu Waiyaki wa Hinga(Southern Kikuyus), mwaka wa 1898. Ambapo alitia moto makao makuu ya mkoloni maeneo ya Kiambu. Unajua kuhusu vita vya Mekatilili Wa Menza(Giriama Resistance) dhidi ya mkoloni? Hiyo ilikuwa miaka ya 1870-1920(zaidi ya miongo mitano). Nandi Resistance ya Koitalel Arap Samoei(1890-1906)? Mloloni alitumia ugonjwa wa Small Pox ili kuzima moto wa Koitalel baada ya kuchoshwa na vita vya miaka zaidi ya 15. Soma historia kabla ya kukurupuka na kutuimba chorus za mchawi Kinjeketile Ngwale na maji yake 'bullet proof'.
Usitutajie habari za resistance, tutajie vita mlizopigana kabla Mkoloni Mwingereza hajawafundisha jinsi ya kupigana!!!

Usisahau, Mau Mau ilianza 1952... matunda ya Mwingereza kuwafundisha jinsi ya kupigana kwa sababu hapo kabla mlikuwa mnaendeshwa kama misukule tu kwenye mashamba ya chai, huku wengine wengi wakitimuliwa kwenye ardhi zao!!!
 
Mkuu unaturudisha darasani 😁😁😁

Kiukweli huwa najiuliza Kenya kulikuwa na tawala zenye nguvu ama jamii zilizoendela kabla ya mkoloni ngapi zenye level za Hehe ama Nyamwezi ???...

Maana Uganda tunajua kulikuwa kuna Buganda na Bunyoro ila Kenya sijawahi kusikia labda unijuze mkuu

Kingine sababu mojawapo ya kuanzisha settler economy ni kupata less resistance kutoka kwa wazawa which means walikuwa weak sana kutoa upinzani wa namna yoyote hivyo, Ukitoa maumau kulikuwa kuna vita nyingine yoyote ile Kenya maana kwetu ukiitoa majimaji bado zilikuwepo nyinginezo
You're 100% RIGHT... Kenya hakukuwa na dola lolote la kumtisha Mkoloni kama ilivyokuwa Dola la Nyamwezi, Hehe, na madola mengine kadhaa yaliyokuwa chini ya Machifu na Watemi mbalimbali Tanganyika kabla ya ukoloni!

Ni kutokana na hilo, ndio maana haishangazi kuona vita yao ya kwanza kueleweka ni ile ya Mau Mau ambayo kimsingi, ni matunda ya Askari wa Afrika waliokuwa wamepigana kwenye Vita Kuu ya I na ya II lakini sio askari kama wa Mkwawa au Kinjekitile ambao completely local with no any modern military training lakini wakazichapa na Mwingereza huku Wakenya wakilimishwa kwenye mashamba ya chai na wengine wakitimuliwa kutoka kwenye ardhi zao!!!!
 
Usitutajie habari za resistance, tutajie vita mlizopigana ambazo Tanganyika hawakupigana! Hizo resistance zipo na zitaendelea kuwepo!!
Unajua maana ya resistance/rebellion au unakariri tu? Kwani kulikuwepo na 'full-blown' war ingine wakati wa mkoloni isipokuwa vita vya Mau Mau?
 
Majimaji walipigana zamani sana tena walikuwa wanapigana dhidi ya Wajerumani. Mimi nasema Waingereza waliwapa uhuru wenu bure bila kumwaga damu. Unapinga hilo?
Tanganyika haikuwa koloni la Waingereza bali ilikuwa koloni la Wajerumani lakini baada ya Vita ya Pili ya Dunia Wajerumani walinyang'anywa Tanganyika ikiwa ni mojawapo ya adhabu waliyopewa Wajerumani ambapo walinyang'anywa makoloni yao yote duniani na Tanganyika walipewa Waingereza kuisimamia tu ikingojea kupata uhuru kamili kwa kuwa Tanganyika ilionekana tayari imeshakuwa civilized zaidi ya Kenya.
 
Back
Top Bottom