In short umeshindwa kujibu, na ndo matatizo ya kubishana na kizazi ambacho babu zao walikuwa wanaogopa Wazungu hadi wakaishia kunyang'anywa ardhi zao huku wakiangalia tu!!!Unajua maana ya resistance/rebellion au unakariri tu? Kwani kulikuwepo na 'full-blown' war ingine wakati wa mkoloni isipokuwa vita vya Mau Mau?
Hebu wasome Wakenya wenzako Nairobi Wire:-
Again,:-A few families, stretching from colonial times, to this day control thousands upon thousands of acres. The one place they’ve been able to acquire endless tracts of land is Laikipia.
Laikipia plateau is estimated to be about 10,000 sq km or roughly 2.5 million acres. It has the biggest number of white landowners concentrated in one place, in Kenya. The plateau stretches from Mt Kenya in the east to the Rift Valley in the west.
Yaani hata baada ya Mkoloni kuwapa ujanja wa kupigana na hatimae Babu zenu wakatoka usingizini na kujiripua kupitia Vita ya Mau Mau lakini bado ardhi yenu mmeiacha kwenye mikono ya Wazungu!!! Hivi mpo timamu kweli nyie?! Sasa mlikuwa mnapigania nini?The Maasai community here numbers less than 50,000. They are squashed on different patches of the land, which totals 281,587 acres. The rest (more than 2 million acres) is owned by a foreigners comprising mostly the British and American “aristocratic” class and a few white natives.