Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Muhimu ni ushindani. Na kwenye dunia kama hii huwezi kukwepa ushindani kwasababu ndicho kichocheo cha ubora.

Mfano kwenye tenders, watanzania wangapi wanapata?

Ukiwapa wabongo, ndio hao kama kina Lugumi.

Tender nyingi hasa za ujenzi wachina wanachukua, sasa kuna tofauti yeyote hata wakipata wakenya?

Mfano: Kwenye banking sector, nini kinafanya banks kubwa na kongwe kama NMB, NBCna CRDB kushindwa kufungua matawi hata Kenya huko?

Huduma mbovu balaa.

Tanzania hapa kuna mabenki ya Kenya kibao: KCB, Equity,

Sisi tumebaki kulalamika tu. Ukimwajiri mbongo yaani Jumatatu anaumwa, Jumanne, kafiwa na bibi yake, Jumatano baba yake wa babu yake ana birthday, Alhamisi amepata dhatula mke wake anaumwa, Ijumaa akijitahidi atakuja kazini lakini ataomba ruhusa saa 4 asubuhi.

Wakati huo atakuwa analalamika sana mshahara hautoshi.

Wabongo tubadilike, hatuwezi kuishi hivi siku zote.

Tumekuwa kama Wazulu wa South Africa.

Unabagua kazi za kufanya, akizifanya mtu mwingine unaona wivu na chuki.
 
Mkuu mimi nimefanya kazi na wakenya.

Wana strength zao na weakness zao lakini siyo kwamba hatuwaezi.

Tuachane na hii inferiority complex.

Imagine, bongo fleva ime take over Kenya na kila wanavyojaribu kujinasua imeshindikana, kwanini tuwaogope kwa vitu vingine?

Ukiachana na uthubutu na kuongea kiingereza Wakenya hawana jipya.

Hivi kama tukiwaogopa wakenya, wanigeria tutawaweza?

Kama ni rushwa, hakuna mabingwa wa rushwa kama wachina na wahindi ila tunaishi nao humu humu.
 
Wacha tukomae nao tuone
 
Nani kakwambia uchumi wa Tanzania umedorola kipindi cha JPM? JPM kaitoa hii Nchi shimoni na mumshukuru sana.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Wajamaa wana roho za utu tofauti na mabepari ambao wapo tayari kuua kwa sababu ya mali ambazo akina Bush Sr. wamekufa wameacha.

Wajamaa wanapambana kiungwana na kwa askili nyingi. Jaribu kulinganisha REPUBLICANS na DEMOCRATS kwa kule Marekani.
Utu hauhusiani na ujamaa. Ni roho ya mtu tu.

Ndio maana mnaojiita wajamaa hamkuona utu kwa Tundu Kussu, Azory Gwanda, Akwilini na wengine.

Labda kama cult personality ndio imekuwa ujamaa wa kisasa.
 
Asee ni vile mko mbali na systeam...hivo amuwez jua lolote...

Hakuna watu wanaopambana usiku na mchana kama Tz Intell!genc!!!!!(Tiss"""Mi"")
Mapambano yao kwa sehemu kubwa yame base kuifanya ccm kua madarakani na asilimia kidogo ndio wanawekeza kwenye ustawi wa nchi.
 
Vodacom haijawahi kuendeshwa na Mtanzanzia ila watu wanaona ni bora kuliko alivyopewa Mkenya !
Tatizo kubwa nadhan ni exposure pamoja na kujiona wanyonge ,
tumebaki kulalamika mama asiruhusu work permit , badala ya kujiuliza na sisi tutanufaika vipi na ujio wao hapa kwetu.
 
Ni mpumbavu tu anayeweza kuamini Vodacom Tanzania inaweza kuondoshwa katika soko la Tanzania na mkenya.
Kwanza VodaCom ni kampuni la kibeberu na limeletwa nchi hii na Rostam Aziz.

Hakuna tofauti yeyote kati ya SafariCom na VodaCom wao ndio wataamua nini wanafanya.
 
Kuna wengine hata hiyo Work permit hawajui ni kitu gani.

Ilimradi ni kubishana tu.
 
Mimi huwa sielewani kabisa na wewe humu JF lakini kwa point hii ninakusifia. Umeandika point ya maana sana.
 
..nadhani tunakosea sana kuwakweza TISS na kukabidhi maisha yetu mikononi mwao.

..suala la viwanda kufa au kustawi linategemeana na mazingira ya kibiashara yaliyoko Tz.
Mkuu, je, unaamini kuwa michezo ya ujasusi wa kiuchumi huwa inafanyika sana hapa duniani?
 
Kwenye work permit mama asijaribu,huku tayari wakenya wengi sana kwenye mahoteri ya kitalii kuliko watz na sisi hawawezi kutupa ajira huko.
Ni lugha za kisiasa tu.
Tanzania na Kenya ni kama Simba na Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…