Mama kasema tusiwe washindani kwasababu wote ni majirani, sijajua mama ana ugeni na VITIMBI vya wakenya auKwenye work permit mama asijaribu,huku tayari wakenya wengi sana kwenye mahoteri ya kitalii kuliko watz na sisi hawawezi kutupa ajira huko.
Ni lugha za kisiasa tu.
Tatizo la wakenya hatuwaepuki maana tunapakana nao: Sirari, Kilimanjaro, Tanga, Mwanza ndio maana muingiliano umekuwa mkubwaHatuwataki Wakenya bora Waganda
Yale ni maneno ya kisiasa tu mkuu na ile ndio diplomasia. Yaaani kwa juu unapuliza huku chini unang'ataMama kasema tusiwe washindani kwasababu wote ni majirani, sijajua mama ana ugeni na VITIMBI vya wakenya au
Tutawafanyia figisu la mama wa kambo mpaka wataiona Tanzania chunguTatizo la wakenya hatuwaepuki maana tunapakana nao: Sirari, Kilimanjaro, Tanga, Mwanza ndio maana muingiliano umekuwa mkubwa
Na ni kweli wakenya wana dharau. Wanajiona watu bora wakiwa na mbongo ( superiority complex ).Tutawafanyia figisu la mama wa kambo mpaka wataiona Tanzania chungu
Kama kasema kidiplomasia ngoja tuone ila Wakenya sio wakuwaamini sanaYale ni maneno ya kisiasa tu mkuu na ile ndio diplomasia. Yaaani kwa juu unapuliza huku chini unang'ata
Hapa pana ukweli woteSwadakta kabisa mkuu, kinachoigharimu Tz yetu ni mifumo ya hovyo na ujanja² wa kiswahili. Mtoa mada + MATAGA wanahangaika sana kulinda legacy ya Jiwe, hawataki kusema ukweli kwamba uchumi wa Tz kudorora ni matokeo ya;
Hamna cha ujasusi wala nini.
- Sheria kandamizi
- siasa chafu
- ulimbukeni wa viongozi
- visasi
- wivu wa kitoto kwa wenzetu n.k n.k
Kwani TISS ndio nini?
Tunapaswa kuishi nao kwa akili nyingi sana.Kama kasema kidiplomasia ngoja tuone ila Wakenya sio wakuwaamini sana
Kenya ni mashetaniMama kasema tusiwe washindani kwasababu wote ni majirani, sijajua mama ana ugeni na VITIMBI vya wakenya au
Russia na USA pia mkuumkuu ujssusi wa kiuchumi upoo sana - USA vs China
CHADEMA punguza kuwapenda wanafiki wa Kenya
Unajifanya haupo TISS?
Yap....hayo ndio maneno. Sio woga tu kila siku toka miaka na miaka. Na kwanza tumewazidi vitu vingi tu.Mkuu mimi nimefanya kazi na wakenya.
Wana strength zao na weakness zao lakini siyo kwamba hatuwaezi.
Tuachane na hii inferiority complex.
Imagine, bongo fleva ime take over Kenya na kila wanavyojaribu kujinasua imeshindikana, kwanini tuwaogope kwa vitu vingine?
Ukiachana na uthubutu na kuongea kiingereza Wakenya hawana jipya.
Hivi kama tukiwaogopa wakenya, wanigeria tutawaweza?
Kama ni rushwa, hakuna mabingwa wa rushwa kama wachina na wahindi ila tunaishi nao humu humu.
Endelea kuwatetea maboss wako katika uharibifu wa nchiMimi sio mwanasiasa.
Wewe unatumiwa na Kenya ili kuonesha watanzania ni wavivu.Ninawaza kuajiri mkenya Kama business manager/ farm manager wangu..
Watanzania ukiwaajiri wanaangalia Leo...hawazingatii kazi mfano hawalishi wanyama..hawafanyi usafi mabandani..hawaxhomi sindano ...wanaiba vyakula na vifaa Tiba vya wanyama....hawaamini katika matokeo.....hawajali kama.mnyama anannenepa au hanenepi...
Uko ofisini unawaza kama nguruwe wamelishwa na maji wamepewa....
Inaongeza huduma shambani wanyama wanazidi kujikondea
Mbongo nae sio mtu dah
Wakenya wakija Tanzania tutawapa wakati mgumu sana ili warudi kwao.Endelea kuwatetea maboss wako katika uharibifu wa nchi
Tukiacha mbwembwe hawa tunawaweza sanaWakenya wakija Tanzania tutawapa wakati mgumu sana ili warudi kwao.