Umemaliza, na hapa ndipo mtu kama Diamond anapowapiga bao wenzake huku wengine wakikalia kujivunia kipaji!!"Hard work beats talent when talent doesn't work hard"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza, na hapa ndipo mtu kama Diamond anapowapiga bao wenzake huku wengine wakikalia kujivunia kipaji!!"Hard work beats talent when talent doesn't work hard"
Angalia pia hardworking Christiano Ronaldo na Talented Lionel Messi wana tofauti kubwa sana.Umemaliza, na hapa ndipo mtu kama Diamond anapowapiga bao wenzake huku wengine wakikalia kujivunia kipaji!!
Kwanini mkuu?Tumeisha pata hasara inji hii mara nyingine tena. wachache wataelewa.
uganda tulihangaika sana, kwa kenya haitachukua round, issue ni kupata sympathy ya jumuiya ya kimataifa tuWakikuyu wanatuona Tanzania kama mafala sana. Tutawapiga kama Idd Amin
Tafuta kadi ya CCM nakuunga fasternipe connection na mimi mkuu nizame uko kitengo
Usisahau cheti cha kuzaliwa cha bibi yako mzaa baba yakoFanya kweli
Huyo kwenye avatar ni wewe??Wakizidisha fyokofyoko tunafunga nao mipaka yote
kipoUsisahau cheti cha kuzaliwa cha bibi yako mzaa baba yako
NinayoTafuta kadi ya CCM nakuunga faster
TISS hamtaki SSH acheni unafiki hasara alileta jiwe lenuTumeisha pata hasara inji hii mara nyingine tena. wachache wataelewa.
Nitakutumia namba yangu ya whatsappkipo
sawa sawaNitakutumia namba yangu ya whatsapp
Upo serious???sawa sawa
sana Mkuu kwani unanitania?Upo serious???
Relax and enjoy your day.sana Mkuu kwani unanitania?
sawa mkuuRelax and enjoy your day.
All is well if ends well
You're right... huo ni mfano muafaka at a global level!Angalia pia hardworking Christiano Ronaldo na Talented Lionel Messi wana tofauti kubwa sana.
Rolado kacheza ligi karibia 4 na kutwaa mataji na timu tofauti tofauti ukilinganisha na Messi aliyeanza na kuzeekea Barcelona.
Hivi unajua kwa kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ujasusi na siasa? Nimeamua kukukumbusha hivyo baada ya kuona umeorodhesha political factors kama moja ya sababu za kufa kwa biashara.The Entrepreneur and his Environment (mjasiriamali na mambo yanayo mzunguka). Kwasasa mjasiriamali biashara zake zinakufa kwasababu ya sera za kukurupuka ama zinazobadilikabadilika(regime uncertainty). kwenye kitabu changu cha ujasiriamali nimelezea kwa undani jinsi Siasa,Magonjwa ya mlipuko na yanayomzunguka mfanyabiashara, vinavyo athiri uchumi wa inchi na biashara (Political, physical, and Environmental factors affecting entrepreneurship)