Kenya kama Malawi, wapanga kupeleka vibarua wa Mashamba ya Israel kwa ujira wa Ksh. 228,000 (4,000,000Tsh)

Wewe nae ni mbuzi tuu, kwenye Mpango wa Saudia na UAE Kuna watu wa fani mbalimbali wakiwamo hao uliowakariri.

Mwisho Samia hawezi wauza watu wake kisa Pesa.Kati ya maslahi ya kibiashara na utu,siku zote ccm inasimama upande wa utu.
Sasa ndugu yangu ya nini kunitukana kuniita mbuzi? Kuna sehemu niliyokukejeli?
Asante jioni njema
 
Mimi nafikiri hizi ni fursa kwa Vijana Afrika kupata Ajira!
Ni kuzichangamkia!
Kuliko wakikaa huku Afrika ambako mwisho wengine wanajiingiza kwenye vitendo vya ukabaji bora waende huko!
Mtakapoanza kunyanyaswa huko msije kusema hamkuambiwa.

Wenzako wanakimbia wewe unaenda tena mtu mweusi
 
Ongezea na kubeti imewawehusha watoto na wanakuwa nazo
 
Vipi kama ingekua wanaenda kufanya kazi Saudi Arabia au nchi yeyote ya Kiarabu,unge comment hivi hivi?
 
Daah.bora ningekuwa Kenya.
Samia nae mbona haoni hizi fursa jamani tuna nini sisi?

Ila wabongo tunadharau sana. Leo milioni nne tunaita utumwa?. Huo mshahara hara Assistant Lecture haipati labda Dr mwenye PhD. Acha wake ya wakapate fursa.
Halafu kutwa wanasema nauza kitanda
Mara mshahara wa laki 3 mwingi
Ila waswahili ni maskini jeuri
 
Vipi kama ingekua wanaenda kufanya kazi Saudi Arabia au nchi yeyote ya Kiarabu,unge comment hivi hivi?
Uarabuni mbona mbali sana, tuanzie Tanzania. Kama unakubali daktari kulipwa 1.5M kwa mwezi, kwanini ukatae kibarua kulipwa milioni 4 kwa mwezi Israel?

Kuna Watanzania wapo Dubai wanafanya biashara na ajira. Kuna vinyozi, wafanyakazi wa ndani na walinzi wapo Oman na Dubai. What's special with Saudi Arabia?
Kuna kazi uko umeona na renumeration ulete hapa tujadili, maana sina mtu yeyote ameenda uko na mazingira yao ya kazi siyajui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…