Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Sasa ndugu yangu ya nini kunitukana kuniita mbuzi? Kuna sehemu niliyokukejeli?Wewe nae ni mbuzi tuu, kwenye Mpango wa Saudia na UAE Kuna watu wa fani mbalimbali wakiwamo hao uliowakariri.
Mwisho Samia hawezi wauza watu wake kisa Pesa.Kati ya maslahi ya kibiashara na utu,siku zote ccm inasimama upande wa utu.
Asante jioni njema