Kenya kama Malawi, wapanga kupeleka vibarua wa Mashamba ya Israel kwa ujira wa Ksh. 228,000 (4,000,000Tsh)

Nenda tu mkuu hali si hali
 
John Israel hakuna vita,vita vipo gaza. Israel wanajenga uchumi wao huku wakiendelea kuchimbua magaidi pangoni
Kumbe huna ujualo. Kwa taarifa tu nikupe huko israeli hakukaliki wanaporomoshewa rocket siyo mchezo. Jeshi la IDF ni mabingwa wa kuficha taarifa za athari za kivita. Waseme ili waonekane wameshindwa?
 
Kumbe sasa punguza kulia lia. Nenda kawasaidie hamas hakuna anaekukataza
Kumbe huna ujualo. Kwa taarifa tu nikupe huko israeli hakukaliki wanaporomoshewa rocket siyo mchezo. Jeshi la IDF ni mabingwa wa kuficha taarifa za athari za kivita. Waseme ili waonekane wameshindwa?
 
Kumbe sasa punguza kulia lia. Nenda kawasaidie hamas hakuna anaekukataza
Anaelia lia ni mimi au wewe? Hamas hawasaidiwi na mtu wale siyo kama IDF kabebeshwa silaha za dunia nzima kutoka marekani tena bila kificho.
 
Aliyeanza kumquote mwenzie ni mimi au wewe. Punguza kulia lia ovyo,kawasaidie hamas wasiendelee kuchimbuliwa kama panya shambani.
Anaelia lia ni mimi au wewe? Hamas hawasaidiwi na mtu wale siyo kama IDF kabebeshwa silaha za dunia nzima kutoka marekani tena bila kificho.
 
Aliyeanza kumquote mwenzie ni mimi au wewe. Punguza kulia lia ovyo,kawasaidie hamas wasiendelee kuchimbuliwa kama panya shambani.
IDF kamasi zinawatoka huko uwanja wa vita hawakujua mambo yangekua magumu kiasi hiki.
 
Too theoretical kind of economic jaggeries, ni sawa na yale maneno ya hovyo hovyo kwamba kuanzisha biasharala pesa siyo ishu halafu unakuta Mo Dewji anadaiwa na mabenki akina Bakhresa vilevile sasa unagundua kuna stori nyingi ni za kipumbavu kwenye uchumi ni sawa na aliyeandika kitabu chenye title "HOW TO FIND MONEY" halafu akakosa hela ya kuchapisha kitabu ndipo akaambiwa asome kitabu chake.
 
mimi too ntaenda
 
Kwa msiojua milion 4 ni mshahara wa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hapa tz kwa hiyo mnaoukataa nawapa pole
 
Hata mimi mkuu. Niunganishe nao wakija Tanzania.
 
Hujui tu ila bongo kila mwaka wanaenda vijana zaidi ya 800 huko Israel wanakaa mwaka mmoja wanrudi wanaenda wengine..
Chuo cha Sua kina program hii pia.
 
Anaeongoza kupeleka mafeki 3 Saudia ni Kenya. Hata wanaofagia Airport Dubai ni Wakenya
 
Hujui tu ila bongo kila mwaka wanaenda vijana zaidi ya 800 huko Israel wanakaa mwaka mmoja wanrudi wanaenda wengine..
Chuo cha Sua kina program hii pia.
Wanaenda training ya masomo sio kuwa manamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…