Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Kesi mahakamani ikikuwa anatumia vifaa vya serikali kupiga kampeni yake wakati huu haweziKenyatta ndo anaongoza maana hata kipindi cha kampeni bado alikua ni rais
Sent using Jamii Forums mobile app
hashahahahahahahahahahha, nitaimba kama Saida Karoli hahahahaahahZote zinapatikana kbsa mitaa hii lakn angalia usje ukanywa ukaanza kuimba unajifanya vanesa mdee[emoji23] [emoji23]
Duh..nyimbo za zaida jau zinawezafanya mgeni akukimbie maana Sauti yake kama mluzi wa nyokahashahahahahahahahahahha, nitaimba kama Saida Karoli hahahahaahah
Alimaanisha haki ya kitanzania tuliyoizoea.Mbona nilimsikia jaji Lubuva ambae alikua mwangalizi kule akidai uchaguzi ulikua huru na haki?
Ndiyo nini?Kenyatta ni rais halali wa wakenya odinga atulie tu
karibu idd mkuu[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] we Jamaa poyoyo sana sasa kuna ubaya gani kutukuza mazuri??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu kaambiwa atumie gharama zake na Uhuru lazima atumie gharama za serikali tu kwnz lazima awe na walinziKesi mahakamani ikikuwa anatumia vifaa vya serikali kupiga kampeni yake wakati huu hawezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Asikushughulishe huyo. Amezoea dhuluma sasa haki inapotokea anatumia nguvu kuhalalisha dhuluma.Ndiyo nini?
Bahati mbaya sijaandika unachotaka ndo maana unatoa povu kama kawaida!Mwenyezi Mungu na akuzindue uijue HAKI uweze kuifuata na uijue BATILI uweze kuiepuka.Baraka za Eid zikufikie!!
Mbavu zangu[emoji23]Uzuri wanafanya kesi zao live bila chenga tofauti na mahakama za tz zinazofanyia kesi zao gizani kama wachawi...itatuchukua zaidi miaka 50 kufikia hatua ya wakenya