KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Habarini!
Kwanza kabisa napenda niwapongeze wakenya kwa hatua kubwa ambayo system yao ya democrasia upande wa kuchagua rais wamefikia!
Kitendo cha mahakama ya juu kutengua matokea ya urais ambayo yalisema Uhuru Kenyatta ndo mshindi kwa kigezo kuwa hayakuwa halali ni cha kupongezwa.

Kura za wakenya zilidukuliwa ktk computer.
Kitendo hili kimewahi tokea pia Tanzania ingawa huku kwetu matokeo yalitenguliwa na ZEC badala ya mahakama kwa sababu hizi hizi za udukuzi. Hivyo Jecha na team yake wanastahili pongezi nyingi sana kwa kutengua ule ushindi batili wa Seif ktk uchaguzi wa rais Zanzibar 2015.

Tanzania nasi tulikataa huu upuuzi wa kudukua matokeo ya uchaguzi kama majirani zetu walivyofanya! Demokrasia ni kuwaacha wananchi wake wachague viongozi wao wanaowataka wao sio kutumia komputer kwa njia za panya.
Heko to Tanzania na Kenya.
Mwenyezi Mungu na akuzindue uijue HAKI uweze kuifuata na uijue BATILI uweze kuiepuka.Baraka za Eid zikufikie!!
 
Hakika natamani ningekuwa mkenya hivi kwa nini Kilimanjaro haikuwa eneo la kenya
Mko mbele sana kwa kweli
Demokrasia mko juu
Mahakama ina uhuru Mkubwa
Hongereni sana wakenya
 
*_SHOCKING REPORT FROM ICT ACCESS/AUDIT REPORT!_*


1. 341 users accessed the system between 6th August 2017 to 22nd August 2017


2. There were 3395 failed log in attempts and 3851 successful log in attempts within the same period


3. Strangers and unauthorized staffs logged into the system between 8th-22nd August 2017
aash003@gmail.com, bernwafukho@gmail.com carles.garcia@scytl.com abir.chaari@groupe-telnet.net etc


4. Chebukati's account was used to transfer, modify and delete files including form 34As.


5. Chebukati's account had 9934 transactions logs within the same period.


6. Chebukati's account used an IP address that was not part of IEBC Partners address.


7. Chebukati's account uploaded form 34B from Jomvu constituency


8. On 9th August 2017 Chebukati's account downloaded, re-uploaded and deleted form 34B from Bureti Constituency.


9. On 13th August 2017 Chebukati's account transfered folder for Kisumu central constituency.
There were cases of use of non partner IP addresses eg wananchi and liquid telcom 41.60.238.138
Forms 34A and 34Bs were posted by Constituency Elections Coordinators (CEC) at constituency level instead of from polling stations during and after the election.
There is no trace of data originating from any polling station. This raises questions whether data on the server came from the polling station.
Some constituencies have no trace of any Form 34B uploaded on to the server.
In other constituencies Form 34B were uploaded more than once.
There were several instances of uploading files and retrieving them by various users.
Only 277 users accessed the FTP server between August 6th 2017 and 17 August 2017 yet data was supposed to be uploaded from each polling station.
There are instances of one user using multiple IP addresses to access the FTP server. Eg Jlimaris@iebc.or.ke used 10 different IP addresses contrary to the static IP address allocation for the KIEMS Kits and the access control policy.
There were renamed or modified forms in various constituencies as seen from the FTP Server logs provided by IEBC
Constituency Elections Coordinators (CEC) made various modifications multiple times eg:
vkimelil@iebc.or.ke from sotik in bomet county was able to install software applications on 09th august 2017 among other interventions
The CEC for Kibwezi East fwaitah@iebc.or.ke uploaded the same form 34B more than once at different times.
nmaftah@iebc.or.ke made modifications on Jomvu Form 34B
asenge@iebc.or.ke deleted form 34B from changamwe constituency
Some accounts granted were misused to carry out unauthorized and malicious activities.
There were a total of 8300 delete commands.
7954 delete commands were successfully executed between 8th August 2017 at 2232hrs and 17th August 2017 at 1319hrs.
File Formats
Different file formats were uploaded on to the FTP server which shows there no input controls.
Some files were in editable formats such as EXCEL AND WORD DOCUMENTS.
(The Statutory Forms came in hard copy already printed therefore the system should not have had editable file formats)
Mismatched user privileges. One user vkimelil@iebc.or.ke is a CEC from sotik bomet was not a privileged user to install software application on a IEMS. No controls.
On the 8th of August there was no traffic on the firewall. Traffic started flowing from the 12th August 2017 at 2.44 CEST (-1GMT)

The amount of data in terabytes per second was the same for both incoming and outgoing traffic into the server

That is why SC Orengo told the court he can't believe his eyes!!!


Huuuuuh huuuuuh huuuh.

Kenyatta is a thief.

Once a thief always a thief.
 
Kimantiki hawajakosea pahala popote. Ni kweli kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.. wao hawakusimamia zoezi la kuhesabu kura kwa hiyo tatizo liko kwa Tume kuhusu utoaji matokeo...


Sent using Jamii Forums mobile app


Ni sawa kabisa mkuu. Waangalizi wao hawahusiki na mambo ya ku-process matokeo. Hata kwenye submission ya NASA hakuna mahali popote waliposema upigaji wa kura ulikuwa na matatatizo.
 
Back
Top Bottom