KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

haki ya Wakenya na wanaNASA imepatikana!
 

Attachments

  • tibim.PNG
    tibim.PNG
    7.4 KB · Views: 46
Amri za Mahakama ya Juu ya Kenya

1. Uchaguzi ulikuwa batili

2. Mshindi ni batili

3. Uchaguzi mpya uitishwe ndani ya siku 60

4. Kila upande ubebe gharama zake

5. Hukumu itapatikana ndani ya siku 21 kuanzia leo

Hapo number 5 ina maana gani??


Au 1-4 siyo sehemu ya hukumu ..................!! Msaada tutani!!
 
Hapo number 5 ina maana gani??


Au 1-4 siyo sehemu ya hukumu ..................!! Msaada tutani!!
Leo umetolewa uamuzi wa Mahakama kwa ufupi. Hukumu kamili,itakayokuwa na huo uamuzi wa leo pia,itatolewa baada ya siku 21. Ni hukumu kamili ya waliokuwa wengi na zile za Majaji wawili waliotofautiana na wengine.
 
Siye tuna kivuli cha mahaka hatujawahi kuwa na mahaka na bado sana kuwa na mahakama.
Kuna chombo maalumu kinachomilikiwa na watu maalumu kwa kazi maalumu kukomesha wakusudiwa sio wahalifu. Mungu tunusuru wanyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya iko juu sio kama mijitu mingine kazi ubabe tuu usio na faida. Ndio maana kenya wanawaburuza tuu majirani zao na hawatakaa wawafikie.. Chek tz ubabe wakishenzi uganda burundi rwanda ni ushenzi tuu unaoendelea. Hongera wakenya mmejidhihirishia ulimwengu mko vizuri. Ni hakika kenya haikupaswa kuwa eneo hili la maziwa makuu. Wabongo mjifunze kitu hapo. Viongoz wa upinzani acheni kulia lia nendani kazini hata ikibidi kumwaga damu ili vizazi vyetu vipone. Wakenya hawakifika hapo bure..thet paid the price...upinzani huku bongo kaz kuokota tu ruzuku. Hiv mahakama zetu zinaweza kujifunza nini kwa wenzao? Tuacheni unafki wabongo wenzetu wametuacha mbali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru Kenyatta and Jubilee.

Please, Don't kill the Chief Justice, David Maraga the way you killed Mr. Chris Msando(RIP) of IEBC.


Kenyatta is a thief. Once a thief always a thief.
 
Wakenya wanaenda kufilisika kabisa hata kale kareserve kadogo kalichobaki kanaenda kutafunwa sababu kuendesha uchaguzi wa taifa ni sawa na gharama za vita.
 
Mnafiki katika ubora wake.

 
Fundisho kwa madikteta wa Uganda, Rwanda, Burundi and Tanzania
 
Kukiwa na katiba nzuri na kuifanya state isiweze kudhibiti judicial system mambo mengi yanaweza kuwa tofauti kabisa hata hapa kwetu
 
Wakenya wanaenda kufilisika kabisa hata kale kareserve kadogo kalichobaki kanaenda kutafunwa sababu kuendesha uchaguzi wa taifa ni sawa na gharama za vita.
Uongo ndio gharama yake. Ili kujifunza lazima uingie gharama
 
Hehehe!! Mimi sio muwakilishi wa Uhuru Kenyatta popote pale, ni haki yangu kumchagua rais nimtakaye kama jinsi ilivyo kwa wenzetu wanaomfagilia Raila. Japo cha msingi, Kenya kwanza.... bendera yetu na uzalendo ndio vitu vya msingi kwangu, mengine ni mapito tu. Fuata tamko langu huku Tupunguze mipovu na kuwa watulivu, huu ushindani ni wetu sote
Kwa mtu yeyote anayejua distribution of expensive governmental objectives uchaguzi wa kitaifa is among the biggest threats to the national economy, first it keeps many economic aspects to the limbo, secondary it consumes massively without returning.

Poleni wakenya democracy is so expensive and it is going to dehydrate you to the maximum.
1 billion dollars already lost
 
Kwa mtu yeyote anayejua distribution of expensive governmental objectives uchaguzi wa kitaifa is among the biggest threats to the national economy, first it keeps many economic aspects to the limbo, secondary it consumes massively without returning.

Poleni wakenya democracy is so expensive and it is going to dehydrate you to the maximum.

Mbona hata sisi Zanzibar ulirudiwa mkuu? Tena baadhi ya wafadhili walisusa na hadi sasa hivi wamegoma kushirikiana na serikali ya mapinduzi. MK254 tukubali tu kwamba tuna mengi ya kujifunza kutoka kwenu.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Kenya!
 
Back
Top Bottom