Kenya: Mwanamke akamatwa kwa kuishi na wanaume wake wawili ndani ya nyumba moja

Wameridhiana!
 
Mwanaume anaendelea kutawala wanawake!Wanaume tumejipa haki ya kulala hata na wanawake 4 nyumba moja, ila wao wanawake ni kosa la jinai.Ipo siku wanawake watakinukisha tutakosa pa kujificha.Tulishawatangulia acha tuendelee kuwatawala tu mana hata sheria tunawatingia sisi.
 
Jirani na sisi hatulali siku hizi.We're no longer 'Behind Men..'We're side by side
Igweee! The council has spoken! [emoji1]
Mbona uhuni wote huo lakini? Tunajua sote kwamba dume wawili kamwe hawawekwi kwenye zizi moja. Umbali wa angalau kilomita moja unahitajika. What says you your royal highness?
 
Duh! Kwa hiyo wewe usiye mjinga unachangia mke wako na mwanaume mwingine nyumba moja? Acha povu kijana...

Hata hivyo, kama wenyewe wameridhika sioni tatizo, lakini usirudie kuita watu wajinga eti kwa sababu mna mitazamo tofauti...
Umenena vizuri tena msisitize kabisa mkuu
 
Kenya bhana...wameacha kukatama mashoga wanafuata watu wanaoenda njia sahihi
 
Wacha upuuzi ww,acha ufala.
 
Umesahau. Ukichanganya na albino eaters you get the most scariest human beings in the world only found in bongoland kwa bongolala
 
Pole broo,vipi wewe na hiyo mwenzio mlianzaje anzaje hadi mkampata mke mmoja?.Type maujanja hayo mkuu.
 
Ila wao wanakaa na sisi wanne ndani na ni sawa tu.Huu ujinga wa Waafrica sijui utaisha lini.
 
Pole broo,vipi wewe na hiyo mwenzio mlianzaje anzaje hadi mkampata mke mmoja?.Type maujanja hayo mkuu.
Sijui tulijipata aje kwenye hii love triangle ila we in love with one chick...
 
Igweee! The council has spoken! [emoji]
Mbona uhuni wote huo lakini? Tunajua sote dume wawili kamwe hawawekwi kwenye zizi moja. Umbali wa angalau kilomita moja unahitajika. What says you your royal highness?


Hahaha!, inategema lakini na nani anaweka huo umbali, na anauweka vipi. 😁
 
Nway, gender equality aside, how have you been getting on Nalendwa? Work with me here, as I smoothly change the topic. 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…