1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Naiona Tanzania ikiwa kisiwa .
Tukoanza kuwabagua waafrika wenzetu kwa kweli tutakua watu wa ajabu sana.
Timekumbatia Wachina wasio na faida yoyote kwetu kama waafrika na hatuna hata chembe ya vinasaba nao lakini tunaanza kujenga Chuki dhidi ya ndugu zetu kwa sababu tu ya kuwa na mipango isiyoridhisha ya kukuza uchumi na ajira.
Mungu tunusuru na hii roho ya unaguzi inayopandikizwa miongoni mwetu mana kesho watasema kabila Fulani waondolewe kwenye shule za mkoa Fulani.
Mbaya sana.
Ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu.
Tukoanza kuwabagua waafrika wenzetu kwa kweli tutakua watu wa ajabu sana.
Timekumbatia Wachina wasio na faida yoyote kwetu kama waafrika na hatuna hata chembe ya vinasaba nao lakini tunaanza kujenga Chuki dhidi ya ndugu zetu kwa sababu tu ya kuwa na mipango isiyoridhisha ya kukuza uchumi na ajira.
Mungu tunusuru na hii roho ya unaguzi inayopandikizwa miongoni mwetu mana kesho watasema kabila Fulani waondolewe kwenye shule za mkoa Fulani.
Mbaya sana.
Ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu.