Kenya: Naibu Rais Rutto apigwa mabomu ya machozi akiwa Kanisani ili kuzuia kuchanganya dini na siasa


bwashee nawaza kwa sauti laiti angekuwa ndiye mama samia amefanyiwa huo undava..

ungempongeza siro.?
 
Kenya 2022 lazima wachinjane kama kawaida yao, kama hamjajua wanachinjanaga wakati incumbent president anamaliza muda wake.

Tukae mkao wa kupokea wakimbizi wa kivita
 
Jinsi Demokrasia ilivyokomaa katika nchi jirani ya Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…