Kenya namba tano duniani kwa nishati mbadala


Huo umaskini wa kutupwa upo kwenye top 10 economy in Africa?
 
Stop the hypocrisy! Wewe ni baadhi ya wale ambao wamezoea kuiita Kenya "failed state"
Mbona kashika Mori nchi yako ikitiwa kejeli?
Ninyi sadistic tu hamna lolote mnafikiri eti kwa hii bullying ndio tutarudi nyuma, Tanzania ipo juu
 
Huyu huwa anasumbuliwa na ufinyu wa akili alafu tena ukiongezea lile dili la sgr lililosainiwa juzi anazidi kuumia na kuonesha chuki za waziwazi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
LOL ni bonge la sadistic
Uganda pipeline
DRC SGR
Na saivi Mombasa inanyanyaswa sana na Tanga port so lazima wanune
 

Hard workers
 

Huo umaskini wa kutupwa upo kwenye top 10 economy in Africa?

Hadi mtoke kwenye hii ramani ndio siku uje kuongea, kwa sasa nyie ni mivivu, maskini na mumejaza omba omba huku Kenya, pole ila ndio ukweli




 
LOL anasema Tanzania masikini wa kutupwa wakati population below the poverty line ni 26% wakati Kenya ni 48% sasa sijui hapo nani wa kumcheka mwenzake

Huku wenyewe wakisaidiwa chakula na 99.9% desert country View attachment 1286264

Hii nchi tajiri mpaka leo wanakunya Kwenye mifuko, Ndani ya mji mkuu. Hata vyoo na maji hamna, maisha kama ya Nguruwe[emoji2][emoji2]
Lol Tazama video hiyo
 
Hadi mtoke kwenye hii ramani ndio siku uje kuongea, kwa sasa nyie ni mivivu, maskini na mumejaza omba omba huku Kenya, pole ila ndio ukweli




ninyi mtajinasua lini kutoka kwenye hili ziwa la umasikini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…