Wakati niko mdogo nilikuwa na uwezo wa kuangalia jua au kivuli changu na kujua ni saa ngapi kutokana na shughuli za kila siku tulizokuwa tunafanya ni mazoea tuIvi kale kamlio kabla ya taarifa ya habari bado n kale kale?
Nakumbuka miaka hiyo ukienda kwa bibi ni radio one tu imesetiwa na haijawahi kubadilishwa, ukitaka ugomvi na bibi fanya kutaka kubadilisha stesheni yake pendwa RADIO ONE.
Ukiwasha redio unachoruhusiwa kufanya ni kuongeza au kupunguza sauti tu.
Bibi hakuwa na saa wala hakujua kusoma ila yupo on time na anayajua majira mno, ile sayansi sijui ni ya aina gani akikwambia washa redio saa saba mchana imefika, ukiwasha kweli n ngoma saba kamili na kama haijafika basi ni kasoro dakika 2 au moja.
Wapumzike kwa amani waliofariki kwa ajali hiyo.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app