Kenya: Ndege mbili zagongana angani, wawili wafariki Dunia

Wakati niko mdogo nilikuwa na uwezo wa kuangalia jua au kivuli changu na kujua ni saa ngapi kutokana na shughuli za kila siku tulizokuwa tunafanya ni mazoea tu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ajali ni hiyohiyo inahusu ndege mbili za mafunzo, kwa habari zaidi ingia google niliisoma jana.
 
Kuna mwaka ilibakia kidogo ndege zigongane maeneo hayohayo ya Kenya


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…