Invinsible
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 314
- 376
Hivi ni kitu gani wakenya wakiifungia tanzania na tz ikataabika, ila sisi watz tunaweza kuwafungia wakenya na wakataabika sana, cha kwanza mipaka, watakufa njaa hawa watu[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upumba** Kenya hatuwez lisha Kenya , wao wanajitegemea kwako wanapesa they can source their staple food any whereHivi ni kitu gani wakenya wakiifungia tanzania na tz ikataabika, ila sisi watz tunaweza kuwafungia wakenya na wakataabika sana, cha kwanza mipaka, watakufa njaa hawa watu[emoji23]
Wewe mwenyewe huwezi jilisha pamoja na Kijiji chako utalisha aje watuHivi ni kitu gani wakenya wakiifungia tanzania na tz ikataabika, ila sisi watz tunaweza kuwafungia wakenya na wakataabika sana, cha kwanza mipaka, watakufa njaa hawa watu[emoji23]
Vijijini watu wanamashamba wanajilimia chakula unlike kenya ambapo kenyata anamilikia ardhi yote yenye rutubaWewe mwenyewe huwezi jilisha pamoja na Kijiji chako utalisha aje watu
unatakiwa kujibu ni kitu gani mkitufanyia sisi tutatetereka, ili tuone kama kweli nyinyi mna nguvu EAWewe mwenyewe huwezi jilisha pamoja na Kijiji chako utalisha aje watu
Pesa ipi wakati kila kitu wanakopa, kila kitu wanapewa misaada hadi pesa ya kupambana na Corona, hadi chakula wanategemea misaada. Reli imeishia porini hawawezi kumalizia hadi Malaba, pesa gani Kenya waliyonayo wakati 70% ya uchumi wenu ni madeni?Acha upumba** Kenya hatuwez lisha Kenya , wao wanajitegemea kwako wanapesa they can source their staple food any where
Wewe mwenyewe huwezi jilisha pamoja na Kijiji chako utalisha aje watu
Am tanzanese but I believe Kenya has a great economy than oursPesa ipi wakati kila kitu wanakopa, kila kitu wanapewa misaada hadi pesa ya kupambana na Corona, hadi chakula wanategemea misaada. Reli imeishia porini hawawezi kumalizia hadi Malaba, pesa gani Kenya waliyonayo wakati 70% ya uchumi wenu ni madeni?
Umesema wewe ni raia wa nchi gani? Sijawahi sikia hiyo nationalityAm tanzanese but I believe Kenya has a great economy than ours
TanzaneseUmesema wewe ni raia wa nchi gani? Sijawahi sikia hiyo nationality
Mbona wakenya mnakua sio wazalendo na nchi yenu? Sijawahi kuona watu wanaoichukia nchi yao kuionea aibu kama ninyiAm tanzanese but I believe Kenya has a great economy than ours
ninyi bila serikali yenu kutoa ruzuku kwa wazalishaji wa unga ili wamuuzie mkenya bei anayoimudu wote mngekufa kwa njaa, serikali yenu inawalipia sehemu ya gharama ya unga ili msife njaaAcha upumba** Kenya hatuwez lisha Kenya , wao wanajitegemea kwako wanapesa they can source their staple food any where
Hao Tanzanese nchi yao ndio ipi?Tanzanese
TanzaniaHao Tanzanese nchi yao ndio ipi?
Hii nchi ni fukara sana, sikujua hii. Hii ni zaidi ya aibuu.ninyi bila serikali yenu kutoa ruzuku kwa wazalishaji wa unga ili wamuuzie mkenya bei anayoimudu wote mngekufa kwa njaa, serikali yenu inawalipia sehemu ya gharama ya unga ili msife njaa
Ministry uses half of its budget to buy maize, subsidies: PS Boga | Nation
😂 😂 😂Hii hii Tanzania ambayo inashikilia nafasi ya 24 kwenye orodha ya nchi 25 maskini duniani? [emoji1] Tanzania has been ranked the 24th poorest country in the world
1)Tenth biggest economy in Africa, out of 55 countries, let's assume all 55 African countries form the last 55 poorest countries in the World, that puts Tanzania at position 45 and Kenya at 49th poorest countries in the World [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
You can`t argue with facts. Tanzania will forever remain poor.1)Tenth biggest economy in Africa, out of 55 countries, let's assume all 55 African countries form the last 55 poorest countries in the World, that puts Tanzania at position 45 and Kenya at 49th poorest countries in the World [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]