Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ila waoe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuruhusiwa kuoa siyo solution kama mtu ni mzinzi ni mzinzi tu,yupo jamaa mwaka 2012 alifia guest Tandika akiwa na mke wa mpangaji mwenzake na alikuwa na wake watatu amewaacha nyumbani.Waruhusiwe kuoa au waachane na hiyo KAZI ni wachache Sana wanaoweza kujizuia
At 43 matatizo ya nguvu za kiume?Inawezekana alimeza vidonge vya viagra huyo. RIP padri.
Usijali sana. Kwa vyovyote vile, iwe iwavyo atazikwa tuu.Padre kafia kifuani kwa mwanamke, sijui itakuaje mazishi yake
AlikuwaJoseph Kariuki Wanjiku (43) aliyekuwa Padri wa Kanisa katoliki, Parokia ya Mtakatifu Paulo, Jimbo Kuu la Nairobi, ameripotiwa kufariki baada ya kupoteza fahamu katika hoteli moja kaunti ya Murang'a, alipokuwa amepumzika na Mwanamke wa miaka 32 anayetajwa kuwa mpenzi wake na mfanyakazi mwenzie Parokiani
Taaarifa ya Polisi imedai kuwa wawili hao waliingia Hotelini siku ya Ijumaa (Julai 7 usiku) kwa mapumziko, na ilipofika Julai 8, Saa 8 usiku, Mwanamke huyo aliwaarifu wasimamizi wa hoteli hiyo kwamba Kariuki alikuwa akipata kizunguzungu na kupoteza fahamu, ambapo alifariki dunia kabla ya kufikishwa hospitali
Taarifa zaidi zinadai kuwa Mwili wa Karuki ulikutwa ukiwa umefunikwa nusu na shuka la kitanda cha hoteli, huku povu jeupe likitoka mdomoni na puani
........
A catholic priest, who served as a parish priest St. Peter's Church in Ruai has been reported dead after being unconscious in a hotel in Murang'a County.
According to a police report, Fr. Joseph Kariuki Wanjiku, 43, checked into the hotel on Friday night accompanied by a 32-year-old female.
"One Joseph Kariuki Wanjiku a k/m/a aged 43yrs old, a Catholic priest at Archdiocese of Nairobi and a farmer at Mangu area checked in at the said hotel together with his girlfriend who also happens to be her colleague at the workplace in Ruai," it read in part.
Around 8 am on Saturday, the lady is said to have notified the hotel's management that Kariuki was getting dizzy and unconscious, which prompted a visit to a nearby hospital.
"They then rushed him to Kenol hospital where he was pronounced dead on arrival while still aboard his motor vehicle Toyota Harrier black in colour," the report further read.
Police say that Fr. Karuki's body was found half-covered with a hotel bed sheet and white foam oozed from the mouth and nose.
The body has been moved to Mater Hospital mortuary in Nairobi pending autopsy and further police action.
Source: Citizen Digital
Ila kwa huyo mtumishi ni kazi isiyo halali kwake.
Mhh! mbona wengi tumo humo-humo sema tu ni kwamba hatujanaswa.Mapadre wamekua vitombi sana
Kama we ni padre acha unafiki labda kama unawaza mshaharaMhh! mbona wengi tumo humo-humo sema tu ni kwamba hatujanaswa.
Mimi sio Padre lakini nikiri tu kwamba kwenye dhambi au kosa hilo nami nimo. Je, ww unajitoa huhusiki? Uwe mkweli lakini.Kama we ni padre acha unafiki labda kama unawaza mshahara