Kenya: Padri afia hotelini akiwa na Mwanamke anayehisiwa kuwa mpenzi wake

Kenya: Padri afia hotelini akiwa na Mwanamke anayehisiwa kuwa mpenzi wake

Waruhusiwe kuoa au waachane na hiyo KAZI ni wachache Sana wanaoweza kujizuia
Kuruhusiwa kuoa siyo solution kama mtu ni mzinzi ni mzinzi tu,yupo jamaa mwaka 2012 alifia guest Tandika akiwa na mke wa mpangaji mwenzake na alikuwa na wake watatu amewaacha nyumbani.

Hao ni kama mimi na wewe,wewe unaweza kutulia na mke mmoja mimi natangatanga yupo mwenzetu hafanyi ngono ni matokeo duniani usi-panic
 
Kuuishi useja ni mtihani mgumu kwa Mapadri wengi wa RC. Nasema hivi kwa sababu nimeishi Seminarini kwa miaka mingi.

I wish na wenyewe wangepewa uhuru wa kuchagua kuoa, au kubakia kuwa waseja.
 
KENYA; Joseph Kariuki Wanjiku (43) aliyekuwa Padri wa kanisa katoliki, Parokia ya Mtakatifu Paulo, Jimbo kuu la Nairobi, ameripotiwa kufariki baada ya kupoteza fahamu katika hoteli moja iliyopo Kaunti ya Murang'a, alipokuwa amepumnzika na mwanamke wa miaka 32 anayetajwa kuwa mpenzi wake na mfanyakazi mwenzake parokiani.

Taarifa ya Polisi imedai kuwa wawili hao waliingia hotelini siku ya Ijumaa (Julai 7 usiku) kwa mapumnzoko, na ilipofika Julai 8 saa 8 usiku mwanamke wake alitoa taarifa kwa wahudumu wa hoteli hiyo kuwa Wanjiku alikuwa akipata kizunguzungu na kupoteza fahamu, ambapo alifariki dunia kabla ya kufikishwa Hospitalini.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa mwili wa Padri huyo ulikutwa umefunikwa nusu na shuka la kitanda cha hoteli hiyo, huku povu jeupe likitoka puani na mdomoni.
 
Joseph Kariuki Wanjiku (43) aliyekuwa Padri wa Kanisa katoliki, Parokia ya Mtakatifu Paulo, Jimbo Kuu la Nairobi, ameripotiwa kufariki baada ya kupoteza fahamu katika hoteli moja kaunti ya Murang'a, alipokuwa amepumzika na Mwanamke wa miaka 32 anayetajwa kuwa mpenzi wake na mfanyakazi mwenzie Parokiani

Taaarifa ya Polisi imedai kuwa wawili hao waliingia Hotelini siku ya Ijumaa (Julai 7 usiku) kwa mapumziko, na ilipofika Julai 8, Saa 8 usiku, Mwanamke huyo aliwaarifu wasimamizi wa hoteli hiyo kwamba Kariuki alikuwa akipata kizunguzungu na kupoteza fahamu, ambapo alifariki dunia kabla ya kufikishwa hospitali

Taarifa zaidi zinadai kuwa Mwili wa Karuki ulikutwa ukiwa umefunikwa nusu na shuka la kitanda cha hoteli, huku povu jeupe likitoka mdomoni na puani

........


A catholic priest, who served as a parish priest St. Peter's Church in Ruai has been reported dead after being unconscious in a hotel in Murang'a County.
According to a police report, Fr. Joseph Kariuki Wanjiku, 43, checked into the hotel on Friday night accompanied by a 32-year-old female.

"One Joseph Kariuki Wanjiku a k/m/a aged 43yrs old, a Catholic priest at Archdiocese of Nairobi and a farmer at Mangu area checked in at the said hotel together with his girlfriend who also happens to be her colleague at the workplace in Ruai," it read in part.

Around 8 am on Saturday, the lady is said to have notified the hotel's management that Kariuki was getting dizzy and unconscious, which prompted a visit to a nearby hospital.

"They then rushed him to Kenol hospital where he was pronounced dead on arrival while still aboard his motor vehicle Toyota Harrier black in colour," the report further read.

Police say that Fr. Karuki's body was found half-covered with a hotel bed sheet and white foam oozed from the mouth and nose.

The body has been moved to Mater Hospital mortuary in Nairobi pending autopsy and further police action.

Source: Citizen Digital
Alikuwa
 
Viagra ktk ubora wake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
RIP padre.
 
Wangeruhusiwaga tu mapadre kuoa na kuolewa masister. Tangu nipo mdogo nasikia kashfa za mapadre kuwa na watoto na wanawake mitaani. Siku moja morogoro nilimshuhudia sister akizama lodge na jamaa tena bila haya akiwa kwenye uniform zake.
 
Back
Top Bottom