rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
wawaruhusuu tuu wawekeee vitu kuliko kuwatendesha dhambi watumishi wa Mungu...!Niliweka angalizo tu, ila Siwezi nikakubishia. Mimi ni nani hata nibishe wakati anayesisitiza huenda ni mhanga wa Mapadre. Maana watu mna mengi mioyoni.