wawaruhusuu tuu wawekeee vitu kuliko kuwatendesha dhambi watumishi wa Mungu...!Niliweka angalizo tu, ila Siwezi nikakubishia. Mimi ni nani hata nibishe wakati anayesisitiza huenda ni mhanga wa Mapadre. Maana watu mna mengi mioyoni.
Utaratibu upo wazi, it's not a suprise. Kwanini msiwashauri kuwa kama hawawezi kufuata masharti wasijiunge? Pia utaratibu unamruhusu kuondoka akiamua kwanini mlazimishe taratibu zibadilishwe?wawaruhusuu tuu wawekeee vitu kuliko kuwatendesha dhambi watumishi wa Mungu...!
Ndomana wanawake wanajigonga kwa mafaza, wanajengea nyumba wanawake zao.Na uzuri wa Mapadri wanahonga hao balaa
hapana zinabadilishwa ili wasifanye kwa kifichoo..Utaratibu upo wazi, it's not a suprise. Kwanini msiwashauri kuwa kama hawawezi kufuata masharti wasijiunge? Pia utaratibu unamruhusu kuondoka akiamua kwanini mlazimishe taratibu zibadilishwe?
Makazini kuna taratibu nyingi lakini watu hulazimika kuzifuata ili kuendana jamii ile, nak9 mtataka zibadilishwe ili kila mtu afanye atakacho?
Eeh wanajua kusimamia majukumu ya kiume, wapo romantic piaNdomana wanawake wanajigonga kwa mafaza, wanajengea nyumba wanawake zao.
Hawajawafikia wale wa Uganda waliongonoka kwenye madhahabuLoo! Sijui Kenya wamevamiwa na pepo gani?
Hapana.Wewe ni padri?
Hey! Ya lini hiyo? Naomba unipe link nijisomee mwenyewe.Hawajawafikia wale wa Uganda waliongonoka kwenye madhahabu
Sasa km mtaani watu wameoa na wanabaka kwa kiwango hiki tunachokiona, unadhani ingekatazwa kuoa watu wangebakana kwa kiwango gani ?Huo ushauri wako unatumia takwimu zipi kufanya ulinganifu?
Unaposema waruhusiwe kuoa kwani wakati anajiunga hakuujua utaratibu?
Mtaani ambako watu wameoa na still aither wanabaka au wanaingiliwa kunyume cha maumbile unawapa ushauri gani?
Niliona kwenye page ya jf ya facebook, sijui humu ilifika ama vipiHey! Ya lini hiyo? Naomba unipe link nijisomee mwenyewe.
Padre hatakiwi kuoa, hivyo tangu awali wanakua na maamuzi ya kutojiunga upadre, pia wangeweza kuuacha upadre kama alivyofanya Dr. Slaa.Sasa km mtaani watu wameoa na wanabaka kwa kiwango hiki tunachokiona, unadhani ingekatazwa kuoa watu wangebakana kwa kiwango gani ?
Pengin hata wewe ungeingia kwenye genge la wabakaji.
Na siku NDOA ikipigwa marufuku nakuhakikishia 95% ya watu wazima watabaka, 05% ndo watasalimika.
Kwa kifupi ndoa inapunguza tamaa ya moyo kwa zaidi ya 90%, asilimia zinazobaki ni uimara wa moyo wa mtu.
Haikufika au ni kwa uzembe wangu hiyo ilinipita sikuiona.Niliona kwenye page ya jf ya facebook, sijui humu ilifika ama vipi
Na sister's nao wana mtihani kwelikweli... Namkumbuka teacher wangu mmoja sister.(kisu kwelikweli)Kuuishi useja ni mtihani mgumu kwa Mapadri wengi wa RC. Nasema hivi kwa sababu nimeishi Seminarini kwa miaka mingi.
I wish na wenyewe wangepewa uhuru wa kuchagua kuoa, au kubakia kuwa waseja.
Aliingia kufanya nini huko hadi tujue fedha alizonazo?Aliingia na fedha kiasi gani na amekutwa na kiasi gani mfukoni