KDF-BabaYao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 221
- 317
Vikosi vya Kenya Police Special forces ( AP SOG and BPU) vilivamia kambi ya wanamgambo wa Alshabaab huko Boni forest,Lamu county.
Magaidi hawa hutumia upana wa msitu huu kufanya mashambulizi yao katika huu msimu wa Krismasi na January kisha kukimbilia Somalia na kurudi wakati wa Iddi tena huko June/July.
Tuliwaambia nyinyi mataga wa ccm na kwamba hamko combat tested, combat experienced or combat proven. Vita vya Kagera visiwadanganye kwamba mwaeza tisha yeyote hapa East Africa.
Mkishindwa huko Mtwara, mtuite tumalize hio kazi
Magaidi hawa hutumia upana wa msitu huu kufanya mashambulizi yao katika huu msimu wa Krismasi na January kisha kukimbilia Somalia na kurudi wakati wa Iddi tena huko June/July.
Tuliwaambia nyinyi mataga wa ccm na kwamba hamko combat tested, combat experienced or combat proven. Vita vya Kagera visiwadanganye kwamba mwaeza tisha yeyote hapa East Africa.
Mkishindwa huko Mtwara, mtuite tumalize hio kazi