KENYA: Raila Odinga(NASA) ajitoa kugombea urais wa Kenya uliokuwa ufanyike 26 Oktoba, 2017

KENYA: Raila Odinga(NASA) ajitoa kugombea urais wa Kenya uliokuwa ufanyike 26 Oktoba, 2017

Kama hana imani na tume basi kafanya jambo jema [kama habari ni ya kweli].

Huku kwetu CHADEMA huwa wanashiriki chaguzi za NEC halafu wakishindwa wanaanza kudai tume haiko huru.

CUF hawakushiriki unakumbuka? Shein kapeta 95%
 
Wengine mnamwita kibaraka, wengine mnasema amerahisisha kumpa ushindi Kenyatta. Kwa wale msiong'amua mambo iko hivi: Kwa mujibu wa sheria yao ya uchaguzi (Kenya) kifungu 138 (8) (b) kilichofanyiwa marekebisho mwaka 2013, kujiondoa kwake (Raila) kunamaanisha uchaguzi wote unarudiwa. Yaani they are going to start from afresh.
what difference does it make? ku start afresh ni nini? kutabadili nini?
coz jamaa isijekuwa anachezea tu pesa za wananchi
 
Huyu jamaa haridhiki, he's after perfectionism. Haitatokea uchaguzi uwe perfect ktk mchakato wake milele, there will be always some human mistakes na za kimfumo. Kenya bdo haijawa na uwezo wa kufanya hivyo. Cha msingi ni kupigana na changamoto zilizopo. Angekuwa Tz hyo Odinga si angezimia kabisa?!
 
CHADEMA wakiunga mkono Kenyatta kutangazwa mshindi pekee baada ya Raila kususa uchaguzi wa marudio CHADEMA PIA wanatakiwa pia waunge mkono dk Shein wa ZANZIBAR kutangazwa mshindi baada ya seif sharrif Hamad kususa.CHADEMA MPOOOOOOO!!!! Mnaona madhara yenu ya kukosa misimamo na kubadili gia angani? Mngesimama na RAILA odinga mngekuwa na msimamo ule ule wa kulaani tume ya uchaguzi ZANZIBAR na kulaaani tume ya uchaguzi Kenya kwa makosa waliyofanya!!! Lakini CHADEMA kwa sasa imekaa kama mizobezobe tu!!!
Kuunga mkono siyo lazima watoe kauli, wanaunga mkono BY CONDUCT. Dr. Shein ndiye Rais wa Zanzibar.
 
That's a lame excuse.

Raila does have some very valid points.

The same people who screwed up the first election can't run the rerun election!

It's just common sense.
Its not common sense! Mahakama haikuelekeza hivyo! Huwezi kubadili uongozi na kuleta watu wapya halafu waweze kutimiza matakwa ya kikatiba ya kuandaa uchaguzi ndani ya siku 60 na ugeni huo! Its absolutely uncommon sense instead! Huwezi ukawatuhumu tume halafu ukawaadhibu bila ya kuwasikiliza!
 
Its not common sense! Mahakama haikuelekeza hivyo! Huwezi kubadili uongozi na kuleta watu wapya halafu waweze kutimiza matakwa ya kikatiba ya kuandaa uchaguzi ndani ya siku 60 na ugeni huo! Its absolutely uncommon sense instead! Huwezi ukawatuhumu tume halafu ukawaadhibu bila ya kuwasikiliza!

It is common sense.

The same people who screwed up can't be allowed to run the rerun.
 
Code:
 http://www.nation.co.ke/news/politics/Jubilee--Nasa-engage-high-gear-as-stakes-in-polls-rise-/1064-4140024-l2w22xz/index.html
 
vigeugeu kama wamejitoa kwaanini waitishe maandamano au nao tamaa fisi
 
Alichofanya ni sahihi kabisa kama hana imani na tume ya uchaguzi.

Jambo ambalo nimekuwa nikiwashauri wapinzani wa Tanzania kwa muda mrefu.

Kwa nini mtu ushiriki uchaguzi unaoendeshwa na tume ambayo huna imani nayo?

Kwangu nawaza anamatatizo makubwa
amekwenda mahakamani kufanya nn mpwaa??
K\ma hakuwa na imani kwann akupiga kelele ama yalemaandamano yake mtaani mpaka tume ibadilishwe.....

unajua ameshagaiwaaa fungu la kampeni na n kodi za wananchi mpwaaa sasa huoni ana shida kubwa maoni angerudisha kwanza zile mupunga za kampeni ndio ajitoe
 
Huenda kagundua figisu


man both of them n bussinessman familia zao zote wafanyabiashara awakuingia siasa kufanya show hata walipotengua niliwambia watu hao wakokikazi zaidi wanajuana na wanajua walichowahadaa wakenya..shida moja wakenya halisi wanajua nn kinaendelea..arudishe hela za kampeni alizopewa easy na subiri serkl mpya usisahau hili((((RAILA NDANI YA NYUMBA))
 
That means Uhuru ndo Rais,Sasa Raila hatokaa awe Rais,hakika maji hufuata mkondo.By the way kama hagombei je anakusudia kufanya nini ?
Anadai anapigania uwepo wa chaguz huru.Ataendelea na maandamano
 
Kaona ezi shinda kakwepa aibu kiume,kama anajua alishinda why amesanda
 
Raila amejiondoa katika kinyang'anyiro hicho maadam tume ya uchaguzi haijarekebisha maswala muhimu yaliyopelekea kufutiliwa mbali kwa matokeo ya uchaguzi wa Agosti. Kukubali kusimamiwa mchezo na refa ambaye tayari ametengaza msimamo kuwa shabikikweli wa timu pinzani ni ujinga usio kifani. Watanzania nawaomba mtulie maanake siasa za Kenya zinahitaji ujuzi wa maji marefu naye Raila hapumui hewa ya ukabila kama wapinzani wake walio katika serikali ambao hata mauaji si kitu kwao.
 
Raila kama lipumba vile atarudi wakati wa kutangaza matokeo na kudai kuwa amefuta kujitoa...
 
Back
Top Bottom