Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
Kama hana imani na tume basi kafanya jambo jema [kama habari ni ya kweli].
Huku kwetu CHADEMA huwa wanashiriki chaguzi za NEC halafu wakishindwa wanaanza kudai tume haiko huru.
CUF hawakushiriki unakumbuka? Shein kapeta 95%