Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
Umeandika lugha gani hiyo. Au kiluya umeandika. Andika kiswahili nikuelewe.Anayeitwa masikini kenya anapelekana sako kwa bako na middle class wa kwenu kwenye kipato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika lugha gani hiyo. Au kiluya umeandika. Andika kiswahili nikuelewe.Anayeitwa masikini kenya anapelekana sako kwa bako na middle class wa kwenu kwenye kipato
Lakini umepata ujumbeUmeandika lugha gani hiyo. Au kiluya umeandika. Andika kiswahili nikuelewe.
Ujumbe gani sasa!? Sijaelewa umeandika nini.Lakini umepata ujumbe
Jipe muda utaelewa tuUjumbe gani sasa!? Sijaelewa umeandika nini.
Ndugu umeandika lugha gani hiyo?Jipe muda utaelewa tu
Wewe jamaa unajichosha sana. Hapa tunapata news day after day.
Tatizo lako ni kwenda off topic. Yaani unaonekana kama kichaa vile. Hapa tunaongelea jambo tofauti kabisa halafu wewe unakuja kulialia na mambo tofauti kabisa na thread. Kwani umeshindwa kuanzisha thread kuhusu malalamiko yako haya ili tukusaidie kukuelewesha!? Anzisha thread kuhusu malalamiko yako haya na sisi wataalamu tutakuelewesha vizuri tu.Kuhusu matatizo ya Kenya tu, na ya kwenyu hamna habari nayo?
![]()
Haya, 90% of Tanzanians live below 1$ a day, according to the graph, the highest in Africa. Hapo hakuna kupinga.
And you know it is not realistic,Kuhusu matatizo ya Kenya tu, na ya kwenyu hamna habari nayo?
![]()
Haya, 90% of Tanzanians live below 1$ a day, according to the graph, the highest in Africa. Hapo hakuna kupinga.
So you are trying to demonstrate that we're the poorest in Africa, Burundi, DRC majority use more than one dollar are better than Tz.Kuhusu matatizo ya Kenya tu, na ya kwenyu hamna habari nayo?
![]()
Haya, 90% of Tanzanians live below 1$ a day, according to the graph, the highest in Africa. Hapo hakuna kupinga.
Kuhusu matatizo ya Kenya tu, na ya kwenyu hamna habari nayo?
![]()
Haya, 90% of Tanzanians live below 1$ a day, according to the graph, the highest in Africa. Hapo hakuna kupinga.
unadhani huku wote wanalima.......acha ushamba..........Hii ni kweli, hawa jamaa huwa na umaskini mkubwa sana, kitu ambacho huwa kinawaokoa ni kwamba wana ardhi kubwa na yenye rotuba 100% hivyo vijana wengi hawakosi ajira. Asilimia 80% ya ajira Tanzania inatokana na ukulima, kwetu kinachotuponza ni kwamba tuna ardhi ndogo yenye rotuba, hivyo nguvu kazi (human resource) yetu nyingi ipo kwenye viwanda.
unadhani huku wote wanalima.......acha ushamba..........
wacha kujidanganya ......hayo mambo unayoyazungumza ni yakizamani sana siyo sasa........tatizo lenu wakenya mnaishi kwa kukariri na hiyo ndiyo furaha yetu kwani mambo yanaenda kimya kimya.......kwa kuwa umejihisi na kujiona wewe umetoa hoja kitaalam hebu lete hapa uthibitisho wa document unaoonhesha tanzania imenunua pipi na sindano kutoka kenya na ni mwaka gani?.....maana unaleta propaganda za kitotoJadili mada kitaalam, nyie mna viwanda vigani vya kutoa ajira wakati mnaagiza hadi sindano. Pipi tunawauzia sisi kutoka kwenye viwanda vyetu.
Nafuu yenu ni kwamba mna ardhi kubwa hivyo vijana wanapata mahali pa kutolea msongo wa mawazo. Japo ukulima wenyewe ni wa kiumaskini maskini tu maana mnaishia kuwa na chakula basi, mengine yanabaki kuwa stori maana nchi yenu bado ipo inatajwa kwenye orodha za mataifa maskini wa kutupwa.
Ardhi yenu hiyo mngeitumia vizuri na kuifanyia ukulima biashara wa kisasa, aisei Afrika mngeitawala.
leta uthibitisho wa kitaalam unaousema kwa document wa hizo pipi na sindano tulizonunua toka kwenuJadili mada kitaalam, nyie mna viwanda vigani vya kutoa ajira wakati mnaagiza hadi sindano. Pipi tunawauzia sisi kutoka kwenye viwanda vyetu.
Nafuu yenu ni kwamba mna ardhi kubwa hivyo vijana wanapata mahali pa kutolea msongo wa mawazo. Japo ukulima wenyewe ni wa kiumaskini maskini tu maana mnaishia kuwa na chakula basi, mengine yanabaki kuwa stori maana nchi yenu bado ipo inatajwa kwenye orodha za mataifa maskini wa kutupwa.
Ardhi yenu hiyo mngeitumia vizuri na kuifanyia ukulima biashara wa kisasa, aisei Afrika mngeitawala.
you talk point on fleek MK254Jadili mada kitaalam, nyie mna viwanda vigani vya kutoa ajira wakati mnaagiza hadi sindano. Pipi tunawauzia sisi kutoka kwenye viwanda vyetu.
Nafuu yenu ni kwamba mna ardhi kubwa hivyo vijana wanapata mahali pa kutolea msongo wa mawazo. Japo ukulima wenyewe ni wa kiumaskini maskini tu maana mnaishia kuwa na chakula basi, mengine yanabaki kuwa stori maana nchi yenu bado ipo inatajwa kwenye orodha za mataifa maskini wa kutupwa.
Ardhi yenu hiyo mngeitumia vizuri na kuifanyia ukulima biashara wa kisasa, aisei Afrika mngeitawala.
Watu wenye ardhi na kujihusisha katika kilimo huorodheshwa kama wako employed, na je, wale wanaofanya kazi za vibarua pia hourodheshwa kama wako employed?Jadili mada kitaalam, nyie mna viwanda vigani vya kutoa ajira wakati mnaagiza hadi sindano. Pipi tunawauzia sisi kutoka kwenye viwanda vyetu.
Nafuu yenu ni kwamba mna ardhi kubwa hivyo vijana wanapata mahali pa kutolea msongo wa mawazo. Japo ukulima wenyewe ni wa kiumaskini maskini tu maana mnaishia kuwa na chakula basi, mengine yanabaki kuwa stori maana nchi yenu bado ipo inatajwa kwenye orodha za mataifa maskini wa kutupwa.
Ardhi yenu hiyo mngeitumia vizuri na kuifanyia ukulima biashara wa kisasa, aisei Afrika mngeitawala.
na huu ni baadhi ya viwanda......vinavyofanya kazi na vilivyo under contruction.......asa wewe endelea kujidanganya na hizo pipi na sindano mwisho wa siku tunakucheka tu hebu soma hapoJadili mada kitaalam, nyie mna viwanda vigani vya kutoa ajira wakati mnaagiza hadi sindano. Pipi tunawauzia sisi kutoka kwenye viwanda vyetu.
Nafuu yenu ni kwamba mna ardhi kubwa hivyo vijana wanapata mahali pa kutolea msongo wa mawazo. Japo ukulima wenyewe ni wa kiumaskini maskini tu maana mnaishia kuwa na chakula basi, mengine yanabaki kuwa stori maana nchi yenu bado ipo inatajwa kwenye orodha za mataifa maskini wa kutupwa.
Ardhi yenu hiyo mngeitumia vizuri na kuifanyia ukulima biashara wa kisasa, aisei Afrika mngeitawala.
Lol! It is not my statistic!So you are trying to demonstrate that we're the poorest in Africa, Burundi, DRC majority use more than one dollar are better than Tz.
I tried to tell you these statistics especially concerning Tz usiziamini sana, unaleta kituko hapa.
Haya hakuna kupinga.
Jadili mada kitaalam, nyie mna viwanda vigani vya kutoa ajira wakati mnaagiza hadi sindano. Pipi tunawauzia sisi kutoka kwenye viwanda vyetu.
Nafuu yenu ni kwamba mna ardhi kubwa hivyo vijana wanapata mahali pa kutolea msongo wa mawazo. Japo ukulima wenyewe ni wa kiumaskini maskini tu maana mnaishia kuwa na chakula basi, mengine yanabaki kuwa stori maana nchi yenu bado ipo inatajwa kwenye orodha za mataifa maskini wa kutupwa.
Ardhi yenu hiyo mngeitumia vizuri na kuifanyia ukulima biashara wa kisasa, aisei Afrika mngeitawala.